Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Hiyo miradi ya mihemko bila kupitishwa na bunge ...

Mh samia piga chini tuu...

Hatuwezi kuendesha nchi kwa mihemko ya mtu mmoja ..

Mh raisi tunakuamini sana
natamani mngeijua Dodoma vizuri na mahitaji yake, ni mji wa kimaskini ambao mradi kama huu huwenda ungefungua fursa kwao. hakika nawaambia msingependa mradi huu usitishwe sisi tunaelewa msaada wake.
wauzaji wa vifaa vya ujenzi wengi watakuwa wamechanganyikiwa kwa kuwa ulikuwa unaenda kuongeza wateja sio kidogo na kufungua fursa mpya kiukweli ulikaa vizuri hata kwangu barabara ilikuwa haipiti mbali na moja site zangu unafikiri wenye hela wangenitoa kwa shilingi ngapi na mimi ningesubiri nini kubaki hapo. acha kabisa!
 
Sasa unataka miradi ya kupeleka maendeleo Chattle kwa upendeleo nayo iendelee? Au miradi ambayo ilianzishwa wakati hali ya kiuchumi hairuhusu iendelee? Watu mna wazimu.
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?

View attachment 1812069
 
Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.

Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
pole punguza hasira wangu japo hata mimi huu mradi nimeumia nilivyouzungumzia jana kuna mtu akanitukana lakini hatimaye leo ameona kilichotokea.
kwa hili wagogo hawatawasamehe ccm.
 
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?

View attachment 1812069
JPM hakuwa na akili,mradi kama wa airport ya Chato ulikuwa hauna maana kwa sasa,alikurupuka tu,
Hivi kama una akili timamu unawezaje kuweka international airport kwenye wilaya kabla ya makao makuu ya mkoa,yaani ujenge airport Karagwe kabla ya Bukoba mjini,au Hai kabla ya Kikimanjaro,au mpwapwa kabla ya Dodoma mjini.
 
Vijamaa vya dsm huwa vinajiona nchi ni yenu...pakijengwa kwingine ni upotevu wa pesa eeee
#Triumvirate Dodoma ndio nyumbani kwangu,lakini hahiitaji ring road na hapo chako ni chako ndio ilikuwa sehemu yangu ya mambo yetu,japo kama imekufa vile, Hakuna ubize unaohitaji ring roads
 
Mi nadhani huu uzi kuna kitu hakiko sawa,hii barabara imepita sehemu mbalimbali za jiji la Dodoma na huko Nkuhungu ni sehemu tu ya hiyo barabara,pia ukisoma hiyo barua kule Nkuhungu kulikuwa na mjadala/mgogoro wa jinsi ya kulipa wamiliki wa viwanja inapopita, kwahiyo nina matumaini kuwa sehemu nyingine ujenzi utakuwa unaendelea kwani hizo Barabara kwa jiji la Dodoma ni muhimu sana,tofauti na mtoa mada ulivyoelezea kwenye uzi wako...
 
KINACHOHIFADHIWA KWA FUTURE YA MIAKA MINGI IJAYO NI ARDHI, AU FUTUTE STRATEGIC PLANS, NI UPUMBAVU KUPLANI MIRADI YA MIAKA 200 MBELE HUKU RAIA WAKO WAKIKOSA HUDUMA ZA AFYA BORA NA NAFUU,
NI AKILI KUTUMIA FEDHA HIZO KATIKA KUBUNI AU KUANZISHA MIRADI ITAKAYOZALISHA AJIRA ZA KUTOSHA AT MEAN TIME.
hivi nauliza ukiwekeza fedha zote kwenye afya zikiisha unazipata wapi? lakini hivi ni kweli tuna taifa la wagonjwa kiasi kwamba tukipatacho tuwaze kila siku kuwekeza kwenye hospital huku tukisahau jinsi ya kujenga mazingira rafiki ya uwekezaji ili yalete kodi zitakazoiwezesha nchi kuendelea kuboresha huduma bora?
kweli!?!
 
#Triumvirate Dodoma ndio nyumbani kwangu,lakini hahiitaji ring road na hapo chako ni chako ndio ilikuwa sehemu yangu ya mambo yetu,japo kama imekufa vile, Hakuna ubize unaohitaji ring roads
Ni makao makuu projection za yajayo ilitaka kuwa na miundombinu hiyo..unataka 20 yrs baadae pawe congested kama dsm?
 
Sasa Dodoma unawekeza nini??
Mvua hakuna, madini hakuna,utalii hakuna, ardhi imejaa chumvi na magadi wewe Mgogo vipi. Dar kuna barandari , dar kuna shughuli za Uvuvi, utalii n.k.
mhn! haya ndugu Muulize Malkia Elizabeth Gold nzuri ya Tanzania iko wapi?
  1. zaidi ya 65% ya mji wa Dodoma una madini.
  2. mvua inatosha tuna wastani wa 500mm-800mm ambazo zinatutosha ikiwa serikali itatusaidia katika kutuelimisha na kuweka mfumo wa uvunaji maji tuna mvua nyingi kuliko Israel wanaoongoza kwa kilimo cha matunda
  3. chakula kinacholimwa Dodoma ni salama kwa kuwa hakitumii mbole za viwandani
  4. tuna zabibu tamu Dunia nzima ila haijafanyiwa soko la kutosha na inazaa mara mbili.
 
Kama mnataka isibomolewe itungieni sheria. Inaweza kuitwa "An Act to protect the Legacy of the anointed Supreme John Joseph Pombe Magufuli".
Tulishauri itungwe sheria, tena mimi nilitaka yafanyike mbadiliko ya katiba ili kulinda mali zote za kudumu za uma (serikali) zisiweze kuuzwa, nikajibiwa kuwa katiba si kipaumbele.

kuwa katiba ni kikaratasi tu nk. Lengo langu ilikuwa ni kulinda mali na hasa miradi mikubwa ambayo JPM aliyoanza kuijenga isije kutekwa na wachache baada ya yeye kuondoka.
 
Back
Top Bottom