Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

KINACHOHIFADHIWA KWA FUTURE YA MIAKA MINGI IJAYO NI ARDHI, AU FUTUTE STRATEGIC PLANS, NI UPUMBAVU KUPLANI MIRADI YA MIAKA 200 MBELE HUKU RAIA WAKO WAKIKOSA HUDUMA ZA AFYA BORA NA NAFUU,
NI AKILI KUTUMIA FEDHA HIZO KATIKA KUBUNI AU KUANZISHA MIRADI ITAKAYOZALISHA AJIRA ZA KUTOSHA AT MEAN TIME.
 
DODOMA pabaya huwezi kupafanya pawe pazuri kwanza mkoa gani upo upo tu umepauka vile. Hiyo Miradi bora wapeleke Mtwara maana tutanufaika na gas na Samak,dagaa,korosho . Damn Dodoma
Kumbe ni mtwara mlishakuwa na raisi wa kutoka kwenu akawatelekeza mzee mkapa anajua nyie kazi yenu ni umachinga ndombana hamna miradi mikubwa zaidi ya hako kabandari kalichotelekezwa

Hio dar unayoiona imeendelea imetumia miaka zaidi ya 60 kufika hapo ilipo na biashara zote kubwa zikianzia hapo

Dodoma miaka 4 tu za mwendazake mji ulishabadirika kwa haraka vuta picha miaka 54 badae kama serikali itaamua kukomaa kuhamia Dodoma

Nakushangaa mtwara japo mna korosho,gesi,bandari na mnapakana na msumbiji lakini bado dodoma imewazidi na ukame uliopo

Mkuu mfano watu wa dodoma wakahamia mtwara na nyie muhamie dodoma wa mtwara mtaona mko jangwani lakini sisi tunaishi na kutengeneza mji

Mtwara mnazidiwa hata na singinda mkoa wa ukame kabisa

Kwa heshima ya wanamtwara naomba kumuita huyu jamaa takataka
 
Hapa hautawaona kina missile of the toilet..babati..robert herielii..wao huwa wanakuja kwenye mada za kuwasuta kina sabaya na makondaa..
Mzee alishasema..mtanikumbukaaa..tartiiibuuu tunaelekea hukoo..
Hakuna anaemkumbuka labda familia yake na nyie wasukuma tena baadhi !!!!aliharibu hii nchi
 
Mtu mwenyewe unaitwa crocodile tooth.

Akili yote iko kwenye meno na kutafuna machips tu.

Ungejiita walau mikono ya chuma tutambue kwamba unapenda kufanya kazi ngumu.

Unawaza kula kula tu hovyo bila kujishughulisha. Watakupakua wenzio.

Nchi lazima iwe na miundombinu madhubuti na ya muda mrefu ili kukidhi shughuli za kiuchumi.

Ndio maana Dar es salaam imekuwa ya hovyo kwa sababu ya walevi wa wakati ule ambao hawakuijenga inavyopaswa.

Sasa lazima tujitambue. Lazima tujenge miji yetu kama watu wenye akili timamu.
 
Nyani hawaelewi
 
Kamfufue kenge wewe
 
Wewe mpuuzi unategemea mahamisho ya Serikali ndio hiyo dodoma ikuwe?? Fanyeni kazi mshazoea kitonga na kuomba omba. Mbona mikoa mingine imesahaulika na serikali lakini inapiga bao.
 
Wewe mpuuzi unategemea mahamisho ya Serikali ndio hiyo dodoma ikuwe?? Fanyeni kazi mshazoea kitonga na kuomba omba. Mbona mikoa mingine imesahaulika na serikali lakini inapiga bao.
Tunafanya kazi ndomana tumewazidi mtwara japo tupo jangwani na nyie mpo kwenye neema zote lakini hamtupati
 
Mkuu ukiandika weka aya.
sio kapenda ameumizwa hivyo hajatulia katika kuwasilisha na hapa ndio mahali pekee kwa kupigia kelele.
hii barabara ilikuwa inaenda kukuza uchumi wa mji huu na kutoa foleni zisizohitajika mjini.
watu washapanga kuwa na vitega uchumi kibao katika njia hii ikiwemo hotel na maduka ya kisasa achilia mbali vituo vya mafuta.
afadhari wasitishe uwanja wa ndege mpya ila hii barabara waiache kwakweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…