Magufuli tu ndiye alijua namna ya kukusanya pesa kwa njia zake .....!!
Huo ni mwanzo. Miradi mingi tu itasimamishwa kwa uhaba wa pesa ....... Siyo rahisi kufanya kazi Kimagufuligufuli!!
Nyie majitu mavivu ilikuwa lazima Magufuli awapeleke mchakamchaka.
Bila hivyo, tungehamia dodoma miaka mia ijayo.
Wangekuja wajinga kama wewe hapa wakwambie mambo ya sijui upembuzi yakinifu.
Mara sijui tupo kwenye mkakati kabambe wa kuchanganua!
Uvivu uvivu tu...... unachambua kitu gani?
You have the money, DO THE WORK.
Chambua chambua tu. Hata ukitaka kujamba wanakwambia subiri tufanye uchambuzi wa mazingira.
Upuuzi mtupu!
Hapa wamefanya makosa sana, Dodoma itakuja kujaa kama Dar ishindwe kupitika
Tatizo mnabishana hapa bila fact, nenda kasome Ilani ya uchaguzi 2015 miradi yote imeainishwa. Kukamilika kwa miradi inategemea na ukubwa wa mradi husika, SGR au bwawa la umeme huwezi jenga kwa mwaka mmoja.
Miradi midogo midogo kibao imekamilika zikiwemo barabara, zahanati, vituo vya Afya, Hospitali za wilaya, Hospitali za Kanda, Masoko, vituo vya mabasi, madaraja ya juu ikiwemo Ubungo interchange, Miradi ya maji ukiwemo mradi wa kutoa maji ziwa Victoria hadi Tabora.
Magufuli msemeni kwa mengine Kama demokrasia lakini kwenye miradi ya maendeleo kila mkoa ameacha alama.
Labda alama ya kuuza madawa ya kulevya.JK ndiye aliyeacha alama kubwa zaidi ya Rais yeyote
Orodhesha sababu kwa mpangilio.Hakukwa na haja ya kuhamia Dodoma
JK alijenga miondombinu muhimu ya nchi
Orodhesha sababu kwa mpangilio.
Kwamba serikali haikupaswa kuhamia Dodoma kwa sababu moja, mbili, tatu....
Ukiandika tu kama nyumbu aliyekatwa kichwa, tutaaminije hayo unayoyasema?
Hoja za kuitetea Dodoma zipo na zinakubalika:
Kwanza, Dodoma ni makao makuu ya serikali, kisheria na kiutaratibu.
Pili, Dodoma ipo katikati ya nchi, kwahiyo shughuli zote za kiofisi zitafanywa kwa ufanisi bila kuathiriwa na umbali.
Tatu, Dodoma ni sehemu salama kwa ajili ya makazi ya Rais kutokana na jografia yake.
Nne, serikali kuhamia Dodoma kumesaidia kupunguza ujazo wa watu Dar es salaam. Maofisi mengi na shughuli nyingi za kibiashara zimeanza kuwekezwa Dodoma.
Tano, kuhamia Dodoma kumesaidia kuupanua mji wa Dodoma na kuujenga kiuchumi.
Yaani wewe mtu mmoja wa mtandaoni usiyejulikana hata jina, unawezaje kusema hayo yote si kitu tena kwa kisentensi kimoja tu?
Unaitwa nani wewe?
Umenijibu au umekanusha hoja zangu?Kwanza, Dodoma inaweza kuendelea kubaki kuwa makao makuu ya serikali, kisheria na kiutaratibu katika makaratasi ili kuwaridhisha wanaopenda kuganda katika mawazo ya Nyerere na kuona anaendelea kuheshimiwa.
Pili, Dodoma kuwa katikati ya nchi haifanyi shughuli zote za kiofisi kufanywa kwa ufanisi bila kuathiriwa na umbali.Nairobi, Kampala, Washington, London,Beijing n.k haziko katikati ya nchi zao.Ni ushamba kuamini mji mkuu unapaswa kuwa katikati ya nchi.
Tatu, Dar es Salaam na miji mingine pembeni ya bahari ni sehemu salama zaidi kwa ajili ya makazi ya Rais kutokana na jografia zake.Rejea jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 na jinsi Nyerere alivyoweza kiwatoroka waasi.
Nne, serikali kuhamia Dodoma hakujasaidia kupunguza ujazo wa watu Dar es salaam. Ukiacha Maofisi ya serikali tu shughuli nyingine nyingi za kibiashara bado ziko Dar es Salaam.
Tano, hatupaswi kupanua miji kama Dodoma na kuijenga kiuchumi kwa kuhamishia makao makuu ya nchi katika hiyo miji. Kama hivyo ndivyo tunavyofanya, tuhamishie makao makuu mji mwingine baada ya Dodoma ili kuukuza?
Umenijibu au umekanusha hoja zangu?
Umepiga chabo na kupesti kama yale magoigoi ya darasani.
Hebu tuambie, ni kwa nini serikali haipaswi kuhamia Dodoma?
Hizo pesa za kuhamia Dodoma zingeweza kufanya mambo mengine muhimu.
Mambo muhimu kama yapi?
Kwahiyo mkuu wewe unasubiri mpaka kuwe na foleni ndiyo ujenge barabara nyingine!!??KUNA WATU WANAFIKI SANA HUMU,HAKUNA JINSI TUTAISHI NAO HIVYO HIVYO.
=======================================
TUKUBALIANE IPO MIRADI AMBAYO ILIANZISHWA KATIKA MWENDO WA KICK TU.
->Daraja la salender (lile la baharini)
Kila nikilitathimini sioni umuhimu wake,
-->pamoja na maintachenji foleni ipo palepale,
#miradi ya kick...!
#population ya dodoma Ahihitaji ring roads,wakajifunze #zimbabwe.
#Dar es salaam lihitaji ring road,ianzie kurasini ipite pembeni ya mji itokeze hata ikibidi chalinze waende ZAO mbali....!
Ni kweli Dkt Magufuli aliminya sana mirija ya wala rushwa wakati Kikwete alichomoa koki ya hazina, mafisadi wakachota pesa hadi wakachanganyikiwaAliyoyafanya JK kwa miaka 5 Magufuli asingeweza kuyafanya kwa miaka 20.
Kikwete angeuza nchi muda sio muda
(Acha maneno machafu)Mtu mwenyewe unaitwa crocodile tooth.
Akili yote iko kwenye meno na kutafuna machips tu.
Ungejiita walau mikono ya chuma tutambue kwamba unapenda kufanya kazi ngumu.
Unawaza kula kula tu hovyo bila kujishughulisha. Watakupakua wenzio.
Nchi lazima iwe na miundombinu madhubuti na ya muda mrefu ili kukidhi shughuli za kiuchumi.
Ndio maana Dar es salaam imekuwa ya hovyo kwa sababu ya walevi wa wakati ule ambao hawakuijenga inavyopaswa.
Sasa lazima tujitambue. Lazima tujenge miji yetu kama watu wenye akili timamu.
mwalimu alipata shida sana!,[Tuwe na strategy plan za muda mrefu,namaanisha plani za barabara,mitaa,viwanja,vya makazi,makanisa misikiti na sheria za ujenzi baada ya kununua.] lakini kipumbavu upeleke ring roads sehemu yenye watu LAKI9,ni kupoteza pesa kipumbavu,
(Acha maneno machafu)Mtu mwenyewe unaitwa crocodile tooth.
Akili yote iko kwenye meno na kutafuna machips tu.
Ungejiita walau mikono ya chuma tutambue kwamba unapenda kufanya kazi ngumu.
Unawaza kula kula tu hovyo bila kujishughulisha. Watakupakua wenzio.
Nchi lazima iwe na miundombinu madhubuti na ya muda mrefu ili kukidhi shughuli za kiuchumi.
Ndio maana Dar es salaam imekuwa ya hovyo kwa sababu ya walevi wa wakati ule ambao hawakuijenga inavyopaswa.
Sasa lazima tujitambue. Lazima tujenge miji yetu kama watu wenye akili timamu.
mwalimu alipata shida sana!,[Tuwe na strategy plan za muda mrefu,namaanisha plani za barabara,mitaa,viwanja,vya makazi,makanisa misikiti na sheria za ujenzi baada ya kununua.] lakini kipumbavu upeleke ring roads sehemu yenye watu LAKI9,ni kupoteza pesa kipumbavu,