Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.

Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
Umemujibu vyema huyo black face.
 
Mi nadhani huu uzi kuna kitu hakiko sawa,hii barabara imepita sehemu mbalimbali za jiji la Dodoma na huko Nkuhungu ni sehemu tu ya hiyo barabara,pia ukisoma hiyo barua kule Nkuhungu kulikuwa na mjadala/mgogoro wa jinsi ya kulipa wamiliki wa viwanja inapopita, kwahiyo nina matumaini kuwa sehemu nyingine ujenzi utakuwa unaendelea kwani hizo Barabara kwa jiji la Dodoma ni muhimu sana,tofauti na mtoa mada ulivyoelezea kwenye uzi wako...
Kwa ni hivi, hapo sawa.
 
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?

Kama wananchi wameruhusiwa kuendelea na ujenzi wa nyumba zao, basi ujenzi wa barabara haujasitishwa Bali umefutwa!!
 
Endelea kusherekea ujinga nawe siku yako yaja na kizazi chako utatambua tu kwamba Mungu anajibu matendo yako. Ina maana wewe na ndugu zako hamtakufa? Jitambue sasa tengeneza mapito yako.
Kama alivyotambua mabaya yenu!?? Mliua sasa mkadhani mtaishi milele kumbe na nyie mnakufa!?? Asante Kama umelitambua hilo
 
Tatizo mnabishana hapa bila fact, nenda kasome Ilani ya uchaguzi 2015 miradi yote imeainishwa. Kukamilika kwa miradi inategemea na ukubwa wa mradi husika, SGR au bwawa la umeme huwezi jenga kwa mwaka mmoja.

Miradi midogo midogo kibao imekamilika zikiwemo barabara, zahanati, vituo vya Afya, Hospitali za wilaya, Hospitali za Kanda, Masoko, vituo vya mabasi, madaraja ya juu ikiwemo Ubungo interchange, Miradi ya maji ukiwemo mradi wa kutoa maji ziwa Victoria hadi Tabora.

Magufuli msemeni kwa mengine Kama demokrasia lakini kwenye miradi ya maendeleo kila mkoa ameacha alama.
Acha uongo wewe ni MTU mzima umri umekutupa mkono
 
Tunarudi Dar, Dodoma isubiri kwanza.
Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.

Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
 
Mwendazake alimtaka yeye kuwa makamu wake. Alimuamini akijua katiba ya nchi inasemaje yeye asipokuwepo, wewe ni nani kuhoji?
Huyu mama hakuna kitu, kwa kweli hapa walikosea kwenye kuchanga karata zao.
 
Barabara zote muhimi na miondombinu yote muhimu ilijengwa wakati JK akiwa Rais.
Upembuzi yakinifu maana yake nini?

Hii nchi ilihitaji kiongozi shupavu anayeweza kuisukuma mbele kwa nguvu. Na mtu pekee aliyeweza kufanya hivyo ni Magufuli pekee.

Nchi lazima ijengwe na wenye akili na wanaojitambua, sio MAJIZI wanaojificha kwenye maneno ya kitapeli na ujanja ujanja.

Mara sijui upembuzi yakinifu sijui nini nini! Upuuzi mtupu!

Ndio maana ndani ya miaka mitano tu, nchi imejengwa kweli kweli. Maana alikuwepo mtu anayejitambua.

Mabarabara, vituo vya afya, ndege, meli sijui manini. Kila mahali miundombinu.

Nyinyi magoigoi mmejifungia vyumbani mnajamba tu na kuja na stori uchwara, ati upembuzi yakinifu.

Fanya kazi, acha ujanja ujanja!

Huo upembuzi yakinifu kafanye na mmeo huko. Wananchi wanahitaji kazi sio blah blah.
 
JK alijenga miondombinu muhimu ya nchi, tumu jiwe hamna kingine cha kuonyesha zaidi ya flyovers na ndege. Watu wa Mbeya, Tanga, Ruvuma, Mtwara, Lindi, Kigoma hawawezi kuelewa hayo ma flyovers yenu.
We mwizi wa saruji lazima ulie lie.

Nchi inajengwa na wanaume wa shoka, sio mabinti wanaojiliza mitandaoni kama wewe.

Ukipita pale juu kwenye flyover ya ubungo unakenua meno na kupanua makalio kwa raha zako, uwe unakumbuka kwamba kuna wanaume walifanya kazi pale.

Hiyo ndio maana halisi ya "vision".
 
Watu wanawekeza Dar kwa sababu wanapata faida na uwekezaji wao, Dodoma uwekezaji hautaleta faida ukilinganisha na mikoa mingine mingi.
Ulivyo na ubongo wa kuku unafikri dar hapa bila uwekezaji pangekuwa hivi palivyo?
 
Kilichositishwa ni middle ring road na siyo ile dual Ring roads zinazokutana Nala - Veyula - Mtumba – Ihumwa Dry Port .
 
Acha upuuzi wako. Kila mkoa ni nyumbani kwa Mtanzania yoyote anayetaka kuishi, wala haihitaji passport au visa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine.
halafu vingi vyakuja wala hapo sio kwao ni mbali kweli na kwao!
 
Back
Top Bottom