Dodoma Stendi kama Ulaya vs Nairobi Soko la Wakulima

Dodoma Stendi kama Ulaya vs Nairobi Soko la Wakulima

Hilo soko ni kama wamejengewa wakulima wa Tanzania, sababu ndio hulijaza pomoni na mazao yao kuja kuwalisha lazy asses around there

LA Morogoro looks thousands modern than that

Kenya hatuna shida. Bora tunanunua chakula.
Tuuzieni hoho na vitunguu, nasi tutawauzia bidhaa za viwanda.
 
Nilifikiri ni JNIA kumbe soko la wakulima. joto la jiwe ichoboy01 mkorinto Trubarg babayao255 CARIFONIA
soko jipya morogoro 😂😂👇👇 musikate tamaa
AD519BEA-B21A-4542-8891-F7AD9CDF315B.jpeg
47B812B8-27F2-4B38-9B2F-3BB21D2EAC9E.jpeg

0D1BE5B4-2D27-49B1-B0BF-AD0D2F2CCEEB.jpeg




 
Kenya hatuna shida. Bora tunanunua chakula.
Tuuzieni hoho na vitunguu, nasi tutawauzia bidhaa za viwanda.
hamuna shida na munakufa na njaa kila mwaka mkisubiria msaada kutoka nchi zenye jangwa asilimia 100😂😂😂
 
Leo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. 😂😂😂😂
Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania?

Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi?
Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? 😂 😂 😂
soko jipya dodoma 😂😂👇👇👇

Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.

View attachment 1493446


alisema kwa kumaanisha kweli 👇👇👇
modern market in dodoma
C9E0CE09-FDD4-4AA5-B57E-FE874888094D.jpeg
507912F3-A422-40C4-A72D-4DA1341CF766.jpeg
CFF0AEF0-1C8E-4846-8392-DB563E1F5A23.jpeg
7B232F1F-4838-4C29-BD6B-C91444BD7DA6.jpeg
51A41700-B25B-4573-821D-1468526EE655.jpeg
AA6916C2-BC49-4AA2-8464-C7AA3221F7CD.jpeg

4EF1F712-AF29-43E0-9ED3-E1A51D51DAC4.jpeg
 
Dodoma kweli kuna jengo ama project yoyote kubwa ya mtu ama kampuni binafsi?
Kila nikiona hapa ni jengo ama project ya serikali.
Hii ni capital city ya aina gani?
Huo ni mji wa kiserikali na umewekwa hapo kimkakati. Hapo lazima zitakuwa project za Serikal pekee.
 
Leo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. 😂😂😂😂
Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania?

Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi?
Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? 😂 😂 😂

Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.

View attachment 1493446


It's a Tanzania thing. You and I cannot understand......they have a thing for bus stations!!!
 
Back
Top Bottom