Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawa nairobi vs miji yote ya TZ,kunya ukitoa nairobi mikoa mingine ni vijiji kabisa
Dodoma kuna project nyingi tu ingia SSC ujionee ..za serikali ndo zinazopata airtime kubwa na ndo zimekuja nyingi at once...but watu wanajenga hotels, offices, houses..of course sio super tall builidings but 7flrs -10flrs zipoWapi makaazi ya watu?
Mnajenga soko mbali kama airport.
Dodoma bila pesa ya serikali ya taifa hakuna chochote.
Mkuu kumbe unapitaga anga hizi za wakunua 😀Duh asubuhi tu basi kumbe huwa zinatoka nyingi namna hio. Almost basi 50 na bado hazijaisha.
Niliwahi sikia zinaingia basi 700 hapo ubungo daily nikahisi uzushi ila kwa huu uwingi tu wa basi za kutoka huenda ni kweli.
mara.moja.mojaMkuu kumbe unapitaga anga hizi za wakunua 😀
Mfano?Kama kawa nairobi vs miji yote ya TZ,kunya ukitoa nairobi mikoa mingine ni vijiji kabisa