kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
- Thread starter
-
- #21
Hilo soko ni kama wamejengewa wakulima wa Tanzania, sababu ndio hulijaza pomoni na mazao yao kuja kuwalisha lazy asses around there
LA Morogoro looks thousands modern than that
soko jipya morogoro ππππ musikate tamaaNilifikiri ni JNIA kumbe soko la wakulima. joto la jiwe ichoboy01 mkorinto Trubarg babayao255 CARIFONIA
hamuna shida na munakufa na njaa kila mwaka mkisubiria msaada kutoka nchi zenye jangwa asilimia 100πππKenya hatuna shida. Bora tunanunua chakula.
Tuuzieni hoho na vitunguu, nasi tutawauzia bidhaa za viwanda.
hamuna shida na munakufa na njaa kila mwaka mkisubiria msaada kutoka nchi zenye jangwa asilimia 100πππ
Mtanyooka tu mwaka huu..Nilifikiri ni JNIA kumbe soko la wakulima. joto la jiwe ichoboy01 mkorinto Trubarg babayao255 CARIFONIA
alisema kwa kumaanisha kweli πππLeo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. ππππ
Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania?
Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi?
Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? π π π
soko jipya dodoma πππππ
Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.
View attachment 1493446
kila mwaka its normal na hua hamushangaiWangapi wamekufa hii wiki?
alisema kwa kumaanisha kweli πππ
modern market in dodomaView attachment 1493582View attachment 1493586View attachment 1493588View attachment 1493585View attachment 1493584View attachment 1493583
hio modern market iko pembezoni mwa the modern bus stage in east and central africa kwan unafkiri zinjengwa kwa kushushwa mbinguni au??πππWapi makaazi ya watu?
Mnajenga soko mbali kama airport.
Dodoma bila pesa ya serikali ya taifa hakuna chochote.
Nakaa just 2km form that palaceWapi makaazi ya watu?
Mnajenga soko mbali kama airport.
Dodoma bila pesa ya serikali ya taifa hakuna chochote.
Huo ni mji wa kiserikali na umewekwa hapo kimkakati. Hapo lazima zitakuwa project za Serikal pekee.Dodoma kweli kuna jengo ama project yoyote kubwa ya mtu ama kampuni binafsi?
Kila nikiona hapa ni jengo ama project ya serikali.
Hii ni capital city ya aina gani?
Haka labda tulinganishe nasoko jipya morogoro ππππ musikate tamaa
View attachment 1493569View attachment 1493571
View attachment 1493570
Tulinyooka kitambo GDP $100b vs Tz $63b iko wazi.Mtanyooka tu mwaka huu..
uehehehe akili inakaa kichwani sio matakoniπππππππ
with 70% debt to GDP ratio πππ alaf muko hapa nye nye nyeTulinyooka kitambo GDP $100b vs Tz $63b iko wazi.
Ushahidi tafadhali na huku unajua Jana mliomba mfaransa mkopo wa trillioni 6.with 70% debt to GDP ratio πππ alaf muko hapa nye nye nye
hi ni ya Kenya au kibera π₯π₯π₯π₯π₯ π₯π₯ π₯Aje sasa bus terminal inayokaa kujengwa miaka ya 1970s itupenye? π π π
Bus terminal za kisasa zinakaa hivi.
Hii design yenu mtaishi nayo miaka 100 ijayo.
Mlikuwa na nafasi ya kurekebisha lakini wapi.
View attachment 1493466View attachment 1493467View attachment 1493468
Gdp ya makaratasi hiyo mkuu..Tulinyooka kitambo GDP $100b vs Tz $63b iko wazi.
It's a Tanzania thing. You and I cannot understand......they have a thing for bus stations!!!Leo nimesoma Dodoma imekuwa kama ulaya kwa mujibu wa stendi mpya. ππππ
Shukrani nikaskia zinapewa JPM. Kwani rais ndiye kufanya kazi yote Tanzania?
Nayo hii soko kubwa mpya Nairobi vipi?
Mbona kila project ndogo ya Tanzania lazima itangazwe hapa kwa section ya Kenya? π π π
Haya oneni pia Sonko amejenga soko ya masaa 24.
View attachment 1493446
Hii ni mall π€£π€£π€£soko jipya morogoro ππππ musikate tamaa
View attachment 1493569View attachment 1493571
View attachment 1493570