Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
- Thread starter
-
- #21
Haizidi kilomita 4 hadi main road ya Dom-Moro...,japo siyo exactly,nimefanya approximation.Kwa makazi kinafaa zaidi,hata pia kwa biashara kinafaa.Umbali gani kutoka main road ya Moro/Dar?
Ni cha Makazi? Au makazi na Biashara?
Hapana chief,kiwanja ni kizuri sana,kwa hiyo pesa,inakua vigumu.Ongeza.Ukikiona utaona hata kwa mil.7 utaona umekiotea.Ongeza mkuu.Nina 4milion hapa boss
Kwa hiyo pesa,kama unahitaji kule Mapinduzi A,tena kina ukubwa wa ekari 1.Utapata.Kipo barabarani.Nina 4milion hapa boss
Dodoma alienda na JPM, loh kiwanja kikubwa bei cheeeKiwanja ni kikubwa cha sq.1000,kipo karibu na nyumba za shirika la nyumba(NHC).
Bei mil.13.
Mawasiliano: 0765920855
View attachment 2385900
Nayo itakua ni sababu pia.Viwanja vinauzwa bei ya kawaida sana,ukilinganisha na ukubwa.Dodoma alienda na JPM, loh kiwanja kikubwa bei cheee
Hapana,Makulu kuanzia laki au chini ya hapo kidogo.Ila kwa 50,hapana.Makulu naweza kupata chumba selfu kwa 50000 miezi 3
Jaribu kunipigiaMakulu naweza kupata chumba selfu kwa 50000 miezi 3
Poa nitakupigia nakuja mwezi wa 11Jaribu kunipigia
25 kina umeme kabisa.,Vyumba vya Elfu 20 vipo mkuu?,kuna jamaa yangu anataka kuja kupambana hapo Dodoma ni apeche alolo
Maji ni ya chumvichumvi,yanapatikana.Hivi maji huko dodoma niaje maana katika kitu ambacho ni mtihani ni kuishi sehemu maji safi na salama ni tatizo. Mambo ya kutumia maji ya chumvi aiseee huo ni mtihani.
Poapoa,siku kabla ya kuja,nipigiePoa nitakupigia nakuja mwezi wa 11