Dodoma: Tunauza Viwanja na kutafuta wapangaji wa nyumba


Sq.909,being milioni 5.5,kipo jirani kabisa na hospitali ya Benjamin Mkapa na UDOM pia,karibu.0765920855
 
Mbona iringa road utangaze viwanja mkuu kama mkonze,muungano n.k wewe unalenga upande mmoja tu?
 
Mbona iringa road utangaze viwanja mkuu kama mkonze,muungano n.k wewe unalenga upande mmoja tu?
Mkuu vipo sehemu mbalimbali,na vinauzika,kama sasa hivi mteja aliyetoka kuhudumiwa,kapelekwa Chamwino sehemu moja inaitwa Vikonze,kachukua ekari mbili ambazo kauziwa kwa mil.4,ni squater lakini.
Mbona iringa road utangaze viwanja mkuu kama mkonze,muungano n.k wewe unalenga upande mmoja tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…