DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Hauna uhusiano
 
Naam Mkuu Nape naye hakuwa na kosa lolote lile la kutishiwa bastola. Kama isingekuwa hadharani labda hadithi ingekuwa ya huzuni. Kisa cha kudhalilishwa na kutishiwa uhai wake ni kumkingia kifua yule jambazi na mfoji vyeti Bashite wa Kolomije.

 
MPENDA HAKI,TUNDU LISU. MPENDA NCHI YAKE, MUNGU AKUPE UZIMA BABA,
IMENIUMA SANA.
 
Barua ya Agasti 7
Anyway labda ni errors ingawa unaweza kuwa INA maana
 
chukua tokeo la bashite kuingia na watu wenye silaha clouds,,unganisha tokio la nape kutolewa silaha na muhusika hajulikani,,unganisha na kupigwa bomu kwa ofisi za mawakili pale upanga..baada ya hapo yachunguze majibu ya vyombo vyetu vya dola kuhusu matukio hayo..hapo kama unafikiri kwa kutumia kichwa basi utapata ni serikali ya aina gani inayotuongoza kwa sasa,( Pia fuatilia maelezo ya serikali kuhusu maiti zinazookotwa kwenye viroba)
 
hii hatar sasa.. walianza kwa kutishia hadharani na bunduki sasa wameanza kupiga kweliiii.... get well soon kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…