DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

baada ya ile ya kuwapakazia chadema wenyewe kugoma sasa mmekuja na hii ya kudai kuna mtu ana mchonganisha na rais ! CCM kwa kweli kama mungu kweli yupo na kweli hukumu ipo kwa hakika mikono yenu imeshika roho za wengi wasio na hatia.
 
Hayo wanayoyafanya walitakiwa watawale milele,lakini kama wana ukomo basi wanatakiwa wajitathimini na wawe nahofu kwa uhasama na chuki wanazopandikiza kwenye mioyo ya watu.
 
hiki kigiliki au kisungu?
 
Hivi huyu mh baada ya kuona anafatwa na gari kwa nini alienda nyumbani? Si angeenda kituo cha polisi kujisalimisha? Au ndio ile ya kuona vyombo vya ulinzi na usalama ni maadui? Wanasiasa wengine mjifunze kitu hapo propoganda za kuvichafua hivi vyombo hazilipi hata kidogo.

Mchina wa jF.
Na washawasha!
 
Tunaendelea kumuombea Mh Tundu Lisu apone kwa haraka,tunaamini Mungu aliyemlinda na makusudio maovu ya waliomfyatulia risasi atamponya kwa haraka ili arejee kuyafanya majukumu yake katika nchi hii. Pamoja na mijadala ya humu niwasihi wote wenye mapenzi mema na nchi yetu tuendelee kupeleka dua, na sala zetu kwa Mwenyezi Mungu kwa uponyaji wa haraka wa Mh Lisu, naamini wengi tunafanya hivyo, basi tusijisahau tukaishia kwenye kuandika humu tukaacha dua kwa ajili yake
 
Nategemea leo cdm wakiitisha press jambo la msingi tuingie tu mtaani tupinge huuu uhuni wa serikali...
Na tuingie mtaani tuonyeshe hisia zetu...ili uuuuu uhuni usijirudie tena!!...
Kuandamanda ni haki yetu raia kikatiba
Weeee?hapa ni kimyakimya lilia tumboni.
 
Nafikiri hilo halina TATIZO.
MIKAKATI ya TAHADHARI za KIUSALAMA ni lazima zichukuliwe.

Sisi kama wananchi tutulie tu na TUVIACHIE vyombo HUSIKA kufanya linalostahili.
Na hiyo ni kawaida sana kuchukua TAHADHARI kama hiyo kwa nchi yeyote hasa kunapokuwa na tukio baya kama hili.
 
Ccm inapendwa na wenye elimu ndogo kama nyie
 
Najua Lissu uko tayari kufa kwa unavyovisimamia kuliko kusimama huku unavyovisimamia vikiwa vimekufa, basi utaishi milele kwenye peo na fikra za Wazalendo. (no matter what happens )
 
Haki ya maandamano na mikusanyiko ipo kikatiba, vyombo vinatakiwa kutoa ulinzi.
 
Ofisi za Fatma Karume ni za siasa au uwakili?
Ukipata majibu basi toa ushauri mwingine
Kuna ofisi ngapi za uwakili? Why IMMMA? Fatma karume hana ofisi ya uwakili.Fatma hajachomewa ofc. Ofisi iliyochomwa ni IMMMA .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…