Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,916
- 2,756
Akili yako mbovu imekuangushaMara nyingi huwa tunaangalia matokeo ya vitu ba kuacha kuangalia mizizi.
Kabla ya kufika kwa aliyepiga risasi, rais wa Tanzania kwa kauli zake mbovu za kuhalalisha wapinzani waandamwe, amechangia kuwepo kwa hali hii.
Kabla ya rais kuwa rais, chama tawala kilichomuwezesha huyu rais kuwa rais, kimetuangusha.
Wazee wa Chama tawala waliompendekeza huyu rais kuwa rais wametuangusha.
Wapiga kura waliotupa huyu bungeni wametuangusha.
Marais waliomteua ubunge wametuangusha.
Bunge lenyewe ambalo amekaa bungeni miaka yote bila kujifunza mengi, limetuangusha.
Vyuo vya elimu ya juu na shule za elimu ya awali vimetuangusha.
Kanisa lililomlea limetuangusha.
Familia iliyomlea imetuangusha.
Jamii nzima ya Tanzania iliyoshiriki kutufikisha hapa imetuangusha.
Hujaweza kuonyesha ubovu wake uko wapi.Akili yako mbovu imekuangusha
Hii avatar,mh,haya!!!!we zwazwa kabisa unadhani huyo physically ni Mimi.
Wewe mwenye shughuli umefikaje humu?Dah sasa naona hamna shughuli nyingine ya kufanya zaidi ya huu umbea wa TL.
kwani nani kakuambia alikuwa anautumia vibaya ,,,Akipona hapo itabidi ajifunze kuutumia mdomo wake vizuri.
Sijui.kwani nani kakuambia alikuwa anautumia vibaya ,,,
Kutoka Tarakea, Mashati mpaka Mkuu tuko pamoja.Hata sisi warombo tunampenda na tunamwombea apone haraka
Babe umesahau Mamsera...Kutoka Tarakea, Mashati mpaka Mkuu yuko pamoja.
Hujanipeleka Mamsera honey, au ndiyo plan ya X-mas hii?Babe umesahau Mamsera...
Sote tunampenda na tunamwombea
Hebu pigia mstari hili jibu sweetheart...Hujanipeleka Mamsera honey, au ndiyo plan ya X-mas hii?