DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Akili yako mbovu imekuangusha
 


Je wajua Tundu lissu aliwatoa gerezani bure wananchi 466 wa tarime waliofungwa kwa kupinga mwekezaji asiwanyangnye ardhi yao.

Je wajua Tundu lissu aliwaikuwa mwalimu wa shule ya secondari bondeni aliyopo mkoani Arusha.

Je wajua Tundu lissu alipambana na kaka take alute lissu mahakamani kwenye kesi ya kupinga ubunge wa Lema, Alute lissu akitetea CCM na Tundu lissu CHADEMA.

Je wajua Tundu lissu hutumia chupa tatu za maji ya Kilimanjaro kama MTO akina rumande, ndio maana akitoka rumande huonekana ameshika chupa.

Mr mkiki.
 
Niliposikia umepigwa risasi , sikuamini nilihisi niko ndotoni.

Tangu tukio limetokea nimekuwa naota ndoto za ajabu ajabu tu, sijui ni kwa nini?

Wewe ni mtu mwema , tena unapenda haki , umetoa maisha yako kuwatetea watu.

Mungu amekujalia kipaji ambacho watu wengi hawana.

Tabasamu lako huonesha ukarimu na upendo kwa wanyonge.

Sasa hivi uko kitandani ukiwa na maumivu , usijali kaka LISU huku nyumbani maelfu ya watu wanakuombea. Hakika naamini hutakufa bali utaishi.

Pole LISU ,watanzania wanakupenda , Afrika inakupenda na dunia nzima inakupenda. Mungu akurudishie afya yako urudi nyumbani uwatumikie watu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…