DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Kama una tip yoyote kuhusu hao watekaji nenda polisi. Kwani umesikia Serikali imekataa kupokea tip za wananchi? Toeni funza kwenye akili zenu and stop unnecessary criticism.


Una akili za kichawi. Itabidi tuangalie family tree yako.
Wamefunga uchunguzi kingine ni kwamba wamtafute aliyeng'oa kamera na askari wa zamu
 
Jaribio la kutaka kumwua Lissu ni jaribio baya kuratibiwa na watu wenye roho za kinyama, ni jaribio liliotia taifa aibu , ni jaribio lililomwachia ulemavu Lisuu,pamoja na Mungu kusimama na Lissu lkn bado hakuna investigation ya jambo hili!!! Tuendelee kulisemea jambo hili, nyie mlio tumwa kutoa roho ya Lissu mmeshindwa kwa sababu mipango ya Mungu ni mikubwa kuliko mipango ya nyie wauaji, Tubuni roho zenu ziwe na amani!!!
 
Bado tu tunaendelea kujadili habari ya kajibwa ka kizungu TL? Jamani hebu tuje na plan za maendeleo 2019
 
Tatizo Mbowe amezoea michezo hiyo sasa atatubu vipi
 
Na hakika watapata mateso makali na mapigo zaidi ya Sana toka Kwa Mungu.Ee mwenyezi Mungu tenda katikati hili
 
Bado tu tunaendelea kujadili habari ya kajibwa ka kizungu TL? Jamani hebu tuje na plan za maendeleo 2019

Maendeleo yenu ni kukamata wangese laana kubwa I juu yenu na vizazi yenu vichaa wakubwa nyie mumeiweka nchi regain munaiba munakopa namna lugha ya kuunganisha wananchi wakabila wajinga ni kama mbwa koko tu
 
Waliomfanyie vile Lisu ni mashetani kabisa, zile ni tabia za kishetani kabisa, ila shetani mkubwa sio aliyetekeleza bali aliyepanga, watekelezaji wao wanaweza kuwa walikuwa wanatimiza tuu wajibu wao kwa kutekeleza amri halali.

Kwa vile waliofanya ushetani ule ni wasiojulikana,
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
kwanza naomba sana, tusihukumu, tusije kuhukumiwa, karma ndio itawashughulikia
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Naamini by now, wameishajuta, na labda wameisha tubu kwa kufanya mema mengi zaidi kwa watu wengi zaidi, hivyo kuifuta dhambi ya ushetani walioufanya kwa Lisu.

Ukitenda dhambi halafu ukitenda mema makubwa kuliko ile dhambi, ile dhambi inafutika.
P
 
Mwambie bashite kwa sauti asikie maana yeye ndiye kinara wa utekaji na mauaji ya awamumya tano chini jpm
 
Waliomfanyie vile Lisu ni mashetani kabisa
Mimi naona bado hata tukiwaita mashetani haitoshi kwa maana huwa najiuliza wakati wanenda kufanya vile walikuwa roho zao zilikuwa za aina gani na baada ya kufanya kitendo kile kama wana familia kama kawaida watoto na wake zetu hutupokea kwa kutupa pole na kazi baba nasi huwa tunajibu eiidha asante mara nyingi wake hutuuliza pole KWA uchovu mume wangu 'wakati umetoka kwenye tendo la kishetani ambapo shetani mwenyewe hapendi kufanya Bali anatuma mawakala wake ambao ndiyo hao mashetani'hivi vijana Wa lisu kwa kitendo cha kufanyiwa baba yao mewaza nini'weapa nini kwa kitendo kitendo kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…