radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Wao ndio watu wasiojulikana wanaofanya matukio ya kihalifu? Hivi mh. TL aliposema anafuatiliwa na vyombo ya dola katika nyendo zake alimaanisha nini? Tukiunganisha dots kuna majibu mengi...
Tundu Lissu adai kufuatiliwa na Idara ya Usalama wa Taifa wiki tatu mfululizo
Aibu kubwa sana hii kwa nini umuue kama upo kwenye mstari sahihi?