tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Aisee!Huko huko hosptali ndio tamaliziwa vizuri...
but nahisi hii ni kiki ya CHADEMA baada ya kuona Magufuli kawafunik na issue ya report ya bunge
Hapa kunablames zinatakiwa kutupwa mahali mtengenezaji wa hii movie atakua mel gibson sio utani, walianza kuchomewa ofsi wale watetezi wa acacia leo risasi. Kuna kitu wanataka kutriger hawa watu.
Lakin tuliambiwa jamaa alitusaliti kwa wazungu, labda wazungu wanataka kupoteza ushahidi ha ha ha
aliutumia wapi vibaya?Akipona hapo itabidi ajifunze kuutumia mdomo wake vizuri.
Hawa watetezi wa CCMScrow huwa ni MAZUZU. Magoigoi.Pia wamagharibi ndio wanaoteka wasanii
Ndio wanaovamia vituo vya habari
Ndio wanaobomolea watu nyumba kinyume cha sheria
Ndio wanaotesa matajiri kisa waliunga mkono wapinzani
Ndio wanaosema watawashughulikia wapinzani
Hata farao alikuwa na mamlaka lakini Mungu kupitia kwa Mussa aliyakataa, nayo si yalitoka kwa Mungu?Ni mungu huyohuyo anayetutaka tutii mamlaka iliyowekwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa mungu.
Sina chama First. Ila kama uchwara anajifanya MBABE kweli..aende akamguse MTEMI CHENGE aone kama hajarudi uko KOROMIJE..Labda wewe na bavicha wenzio.
Nenda polisi kasemeMkuu mbona unacheka wewe ndio ulitumwa??
Pole sana ndugu...naona umechanganyikiwa[emoji24]