DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Wangempeleka Nairobi,

sasa huyu lisu naye hajifunzi tangu anaanza kufuatilia alikuwa hajaweka mechanisim ya kumlinda?.
Huo ni uzembe mkubwa sana utakaomcost maisha yake
 
U
Hapa kunablames zinatakiwa kutupwa mahali mtengenezaji wa hii movie atakua mel gibson sio utani, walianza kuchomewa ofsi wale watetezi wa acacia leo risasi. Kuna kitu wanataka kutriger hawa watu.

Lakin tuliambiwa jamaa alitusaliti kwa wazungu, labda wazungu wanataka kupoteza ushahidi ha ha ha

Kitu gani mekufurahisha hapa .
 
Aiseee tumefika huku kweli??? Aiseeee au ndo utekelezaji wa afadhali kuvunja Sheria?
 
Pia wamagharibi ndio wanaoteka wasanii
Ndio wanaovamia vituo vya habari
Ndio wanaobomolea watu nyumba kinyume cha sheria
Ndio wanaotesa matajiri kisa waliunga mkono wapinzani
Ndio wanaosema watawashughulikia wapinzani
Hawa watetezi wa CCMScrow huwa ni MAZUZU. Magoigoi.
 
Tatizo hapa ni hao watu wasiojulikana, kila tukio kubwa linafanywa na watu wasiojulikana, yaaani ni "Tanzania pekeee"
 
Walizuga kupokea taarifa ili hili tukio la kumpiga Lisu risasi likitokea lisivume sana kumbe tukio la Lisu limepoteza kabisa habari yao ya almasi na Tanzanite, hakuna jambo baya kama unafiki..
 
074e35cf8c360bbb860ffde22881b1a3.jpg
 
Back
Top Bottom