DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Pia wamagharibi ndio wanaoteka wasanii
Ndio wanaovamia vituo vya habari
Ndio wanaobomolea watu nyumba kinyume cha sheria
Ndio wanaotesa matajiri kisa waliunga mkono wapinzani
Ndio wanaosema watawashughulikia wapinzani
Wapi watu wamebomolewa bila kufuata sheria ??.

Kuwabana wafanyabishara kisa waliunga mkono upinzani , Sio kweli ,,ISIPOKUA hao wafanya biashara wako walizoea kufanya biashara kinyume nasheria ,,ukwepaj kodi , MTU anadaiwa mabilion ya pesa ,,,Leo unaambiwa lipa, unahisi MTU huyu ataionaje Serikali???

Kuhusu vyombo vya habari,,, Ujana ni maji yamoto . nahili msilichanganye na serikali .....Ndio Rais alikua anauwezo wa kumwadhibu RC ,,lkn naye nibinadam ,,unatwgemea hatima yake nje ya u RC ingekuaji ili hali keshawatibua wauza unga ?????

Kuhusu kuteka wasanii.... Siwezi kulijibu maana hata alotekwa hajawahi semwa alitekwa na nani.
 
Mambo mengi alishayasema mwenyewe. Ni bora kukaa kimya tu kwa sasa ili kuzuia kukamatwa kwa uchochezi.
 
Hii Siyo hali hali ya kawaida, Kama ni mpango Wa Mungu, Mungu hashindwi, Kamwe, Watapigana na wewe lakini hawatashinda
 

Hizi risasi mbona ni nyingi sana?? ukiangalia mpaka tairi imekaa inamaana risasi zimefika mpaka huko kwenye tairi..
Saizi ya matundu ya Risasi inatofautiana inawezekana bunduki tofauti zilitumika na upigaji huu unaonekana umefanywa na bunduki kubwa na sio bastola.
Matundu mengine hayajafika ndani inaonekana zilipigwa mbali labda walipiga huku wanaondoka.
Pia inaonekana washambuliaji hawana uzoefu na shughuli hizi ukiangalia aina ya upigaji...

It was not a planned mission but its only happened, novice at work.
Pole sana LISSU, Mungu mwingi wa rehma InshaAllah atafanya wepesi........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…