DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Kama kweli Mungu yupo, ni hai, halali, ni hakimu, ni msikivu, na mwenye uwezo uliopitiliza tutamuona sote kwenye suala hili. Tulieni ninyi wote wenye kuamini juu ya Mungu mmoja Mkuu, mwenye haki atapewa haki yake na mwenye kudhulumu atapewa malipo yake, nyie hamjui lakini Mungu ndiyo kazi yake.
 
Katika hali ya kumtakia Uzima mpambanaji Tundu Lissu kutokana na shambulio la risasi lililompata Leo huko Dodoma.


Get well soon Mh Lissu
 
Mungu muweza wa yote, mponye ndugu yetu Lissu. Amen.
 
Mungu,Wewe ni kila kitu ktk uhai wa Lisu.onekana mfalme,tetea roho yake,asife huyu mtu.Ulimjua tangu kuumbwa kwa dunia,na vivyo uliijua ccm.Mungu mponye,ili ccm iabike.hata yule aliyeomba aruhusiwe kumuua Lisu,ajue Mungu hufananishwi na raisi,wala yeyote.ruhusa ya kufa kwa mtu inatoka kwako tu.sina neno zuri la kukupendeza Mungu wanagu,nakuita tu umponye Lisu,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu yupo nae

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…