DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu ameruhusiwa kutoka chumba cha upasuaji akiwa na fahamu na sasa anapelekwa Nairobi nchini Kenya kwa matibabu zaidi.
======
Taarifa zote za uhakika tutakuwa tunazitoa kila baada ya muda mfupi
Sasa si wapinzani wanalalamika viongozi kutibiwa nje ya nchi. Imekuweje tena?
 
WATU WASIOJULIKANA

I CRY FOR MY COUNTRY LINI HAWA WATU WATAJULIKANA?
 
1111-jpg.583472
 

Attachments

  • 1111.jpg
    1111.jpg
    14.3 KB · Views: 122
Sina hakika if this is coicindence ama vipi.....

Ikulu kulikuwa na usanii uleule tuliouzoea kila wakati wa serikali hii wa kupokea wanachokiita taarifa za uchunguzi wa wizi wa madini ya almasi na tanzanite toka kwa wawekezaji ambao walisainishwa mikataba na hawahawa CCM wanaojifanya kulia lia leo .....

At the same time mtu ambaye ni kama ndiye kama kiongozi wetu ktk kutuamusha na kutushtua kuwa tunaendelea kufanyiwa usanii Tundu Lissu, anapigwa risasi ktk jaribio la kutaka kumuua.....!!!

Wamejaribu kumpakazia kila aina ya vijikesi vya kijinga jinga ili wamfunge jela kama njia ya kumnyamazisha, wameshindwa. Sasa the best option walioona inafaa kuendelea kuficha madhambi yao ni kumuua kabisa huyu ndugu yetu....!!

Kwa namna yoyote hili halikubaliki na tunalilaani tukio hili la kijinga kwa nguvu zoote....

Tushindaneni kwa nguvu za hoja na si kuanza kutoana uhai...

Hili kwa kweli ni hapana, halikubaliki hata Kidogo!!!

Tundu Lissu, kamanda wetu, Mungu wa mbinguni muumba wa mbingu na nchi akusaidie na kukuokoa kutoka ktk mauti ya kutengenezwa na wakola hawa....!!!

Utapona kamanda na mapambano yataendelea hadi wakoloni hawa weusi chini ya Chama Cha Makinikia - CCM watakaponyoosha mikono yao juu ku - surrender...!!
Amina
 
Aaaarrrrghhh.. Hawa CCM ipo siku yao

Asifiwe Bwana Mungu wa Israel Aliye Mwenye Nguvu na Mwenye Utukufu Mwingi sana!

Yeye pekee ndiye awezaye kuchukua uhai wa mtu, Asifiwe Mungu Mwenyezi Mtakatifu wa Watakatifu milele Amina!

hakika yeye ndiye Mlinzi na Mtetezi wa wanyonge!

Sent using North Korean Hydrogen Bomb
 
Back
Top Bottom