DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Aisee watu wasiojulikana ni hatari sana maana waliomteka roma ni watu wasiojulikana? waliopiga bomu Imma advocates ni watu wasiojulikana? yule prof wa sheria Juan Thimoth Mwaikusa aliuwawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana Nyumbani kwake? Dr Sengondo Adrian, Khamis Mwarabu Mvungi aliuwawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake na watu wasiojulikana? Aisee watu wasiojulikana ? leo tena wamemvamia Mheshimiwa Mr Tundu Lissu na kumshambulia kwa utitili wa risasi aisee hawa watu WASIOJULIKANA? n hatari aiseee ......# Hawa watu wasiojulikana jicho la Mungu linawaona aiseee

WATU WASIOJULIKANA.jpg


WANAULIWA RAIA WASIKUW ANA HATIA.jpg
 
Mungu ni mwema!!

Nimekaa nimetafakari sana kuhusu shambulio la Mh.Lisu jinsi lilivyofanywa na jinsi alivyoponea kwenye tundu la sindano.

Hayo yote ni mipango ya Mungu, nikiangalia jinsi risasi zilivyopiga gari endapo kama dereva angekumbuka kulaza kiti cha boss na boss alale na kujisukumiza nyumba asingeweza kudhuriwa kiasi alichodhuriwa maana gari ilikuwa tinted hao wapuuzi wasingejua kama Lisu amesogea upande wa nyuma.

Pia kama dereva angefanikiwa hilo sasa msala ungegeukia kwake maana yeye angepigwa pia maana risasi zingempata direct bila kizuizi cha boss kama ilivyotokea.

Hiyo yote ni mipango ya Mungu hatuna budi kushukuru kwa namna alivyomuokoa kwa matashi yake.
 
Wawe wanakaaa siti za nyumaaa sasa maana uku mbele nomaa sana muda mwingine
 
Kaa kimya wewe...Hujui ...hujui


You dont know...
 
mkibakwa mnalialia kama roma mkatoliki
Falsafa ya maisha inasema "kipimo unachowapimia wenzako nawe utapimiwa hichohicho, utakachotenda ndicho utakachotendewa. Na huwezi kufa bila kuyaonja machungu yaleyale"
Unaposhangilia msiba wa mwenzako basi usishangae watu wakifanya sherehe katiba msiba wako
 
Kitendo cha Lissu kunusulika na kusalia kuishi hapa dunia ni dhahili Mungu anamakusudi yake!

Kwa hili sasa halihitaji ubishi, Tundu lissu ndio mpinzani mkuu wa rais Magufuli hapo 2020 na uwezo wa kushinda ni mkubwa

Kutokana na nature ya tukio alilofanyiwa TL hakika linaumiza lakini waliolifanya ndio hivyo hawajitambui, zaidi wamemjenga na kumuimarisha kisiasa kuelekea mbio za urais 2020

Lissu sasa anasikika kila kona ya nchi, kiki aliyotengenezewa na haitafutika leo wa kesho, ndivyo siasa ilivyo hivyo yaani hutegemea matukio kama kufungwa, kuishi nchi za ugenini (mkimbiz wa kisiasa) na watu wa namna hii wanaporudi nchi mwao na kuwa huru hufanikiwa sana katika siasa zao za kimapinduzi!


Get well soon TL

D.A "Mwanaume mashine"
 
Tunamwombea apone ila urais wa Tz asiufikirie! Wachache wataelewa! After all yule mzee wenu hagombei tena?!
 
Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga.

Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu.

Bado hamjachelewa Miga na Acacia jitokezeni mmpe pole na kumchangia mtetezi wenu namba moja Tundu Lisu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom