Dodoma vs Thika

Dodoma vs Thika

Dodoma soon itatangaza tender ya ujenzi wa barabara yake ya Pete (ring road) yenye urefu wa 110km dual carriage way...
Sambamba na hilo pia serikali imeshapata mkopo kutoka bank ya maendeleo ya Africa kujenga msalato international airport mradi utakao gharimu zaidi ya $200M
Tukiachilia ujenzi wa 39km ndani ya mji wa serikal ambao nao utajengwa kwa kiwango cha lami...nasubiri kusikia project kubwa hapo kijijini thika

Sent using Jamii Forums mobile app
I though nyinyi mnajenga na pesa za ndani. Kumbe hata nyinyi pia majina zenu zipo katika vitabu vya deni?
 
Kwakua vuvuzela umesema ndio nkusikilize?pimbi

Mwana govi wa siku zote. Utazeekea JF huku Kenya ikipiga hatua baada ya nyingine. Dodoma itabaki tu kuwa a poverty striken backwaters little town
 
I though nyinyi mnajenga na pesa za ndani. Kumbe hata nyinyi pia majina zenu zipo katika vitabu vya deni?
Kama nanyi mnakopa sisi ndio nani tusikope
 
It is an industrial town. The most industrialized town in Kenya outside Nairobi. Huko kuna viwanda vingi kushinda hata Dar is slum.
Haha Dar imeingiaje kwenye sentensi moja na thika?
 
Mwana govi wa siku zote. Utazeekea JF huku Kenya ikipiga hatua baada ya nyingine. Dodoma itabaki tu kuwa a poverty striken backwaters little town
Haha govi depay DODOMA inakua kwa kasi bro but usichanganye maendeleo ya sehemu na watu bado changamoto zitakuepo
 
Mwana govi wa siku zote. Utazeekea JF huku Kenya ikipiga hatua baada ya nyingine. Dodoma itabaki tu kuwa a poverty striken backwaters little town
Nasikia huko vumbi na jua is the order of the day
 
Mara nyingi mumesema nyinyi mnajenga na pesa za ndani kwenye hizo forums na hata Wewe unakubali hilo.
Kuna miradi mingine inabidi mukope ilo lipo wazi
 
Back
Top Bottom