wewe umekunywa leo konyagi lazima debe mmojaSuperhighway au just highway?mnapenda boast Za kipuuz sana eti super highway hahaha..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe umekunywa leo konyagi lazima debe mmojaSuperhighway au just highway?mnapenda boast Za kipuuz sana eti super highway hahaha..
Nionyeshe yenu highway huko Dodoma.Superhighway au just highway?mnapenda boast Za kipuuz sana eti super highway hahaha..
THEN KEEP QUIET AND KEEP QUIET FOREVERBado hakuna
Sasa nyamazi basi upambane na hali yakoBado hakuna
I though nyinyi mnajenga na pesa za ndani. Kumbe hata nyinyi pia majina zenu zipo katika vitabu vya deni?Dodoma soon itatangaza tender ya ujenzi wa barabara yake ya Pete (ring road) yenye urefu wa 110km dual carriage way...
Sambamba na hilo pia serikali imeshapata mkopo kutoka bank ya maendeleo ya Africa kujenga msalato international airport mradi utakao gharimu zaidi ya $200M
Tukiachilia ujenzi wa 39km ndani ya mji wa serikal ambao nao utajengwa kwa kiwango cha lami...nasubiri kusikia project kubwa hapo kijijini thika
Sent using Jamii Forums mobile app
It is an industrial town. The most industrialized town in Kenya outside Nairobi. Huko kuna viwanda vingi kushinda hata Dar is slum.Thika kuna nn so far tangu mpate uhuru haha jipe shughuli
Kwakua vuvuzela umesema ndio nkusikilize?pimbi
Mara nyingi mumesema nyinyi mnajenga na pesa za ndani kwenye hizo forums na hata Wewe unakubali hilo.Kama nanyi mnakopa sisi ndio nani tusikope
Haha govi depay DODOMA inakua kwa kasi bro but usichanganye maendeleo ya sehemu na watu bado changamoto zitakuepoMwana govi wa siku zote. Utazeekea JF huku Kenya ikipiga hatua baada ya nyingine. Dodoma itabaki tu kuwa a poverty striken backwaters little town
Nasikia huko vumbi na jua is the order of the dayMwana govi wa siku zote. Utazeekea JF huku Kenya ikipiga hatua baada ya nyingine. Dodoma itabaki tu kuwa a poverty striken backwaters little town
Wewe ni tofauti na Watanzania wenzako kabisa. Kama ni wengine tungebishana hapa hadi mwezi ujaoKuna miradi mingine inabidi mukope ilo lipo wazi
Kuna miradi mingine inabidi mukope ilo lipo wazi
Kwa sababu ziko level mojaHaha Dar imeingiaje kwenye sentensi moja na thika?