Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kwa polis wetu hawa hawawez kumuachaKwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa polis wetu hawa hawawez kumuachaKwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
NAKAZIAKataa ndoa.
Ndoa ni mauaji
Ngoja tuone.Kwa polis wetu hawa hawawez kumuacha
Tatizo watu wanayachukulia serious Sanaa ndo tatizo..Mapenzi mabaya
🤣🤣🤣Huyu achunguzwe
Siku nikikaribia kufa nita kupa signal utupie RIP yangu 😁😁[emoji16]
Ndoa ni Kifo......lakini hao hawakuwa wanandoa,😆😆Kataa ndoa.
Ndoa ni mauaji
Faza hausi anasema mlango ulikua umefungwa anavunja ubao wa juu ndio akaingia.hapa najiuliza je waliuliwa au ni mmoja kati yao alifanya yake kisha akajitoa uhai
Huyu lazima awekwe kati kulisaidia jeshi la polisi.Faza hausi anasema mlango ulikua umefungwa anavunja ubao wa juu ndio akaingia.
Inamaana walimalizana ndani.
Huyu naye kuna mahali anajichanganya. Kwa nini akimbilie peke yake eneo la tukio! Alishindwa kabisa kuita na majirani!!Kwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
Hawamuachi.. Usikute Love triangle.Huyu lazima awekwe kati kulisaidia jeshi la polisi.
Muuaji naye kajimaliza!Hapo mapenz yanahusika dadeq
mlango umefungwa kwa ndani? Hapo alieomba msaada ndo mtekelezaji wa mauaji na kisha kujiua mwenyeweWatu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.
Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.
Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.
Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.
“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.
Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.
Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.
Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.
MWANANCHI
Sijakuelewa mkuu, nyeto imekujaje hapo?Duh swala la nyeto linafikirisha[emoji848]
Kwa kunyea debe hapana, isipokuwa shata shata za kituoni zitamhusu!Hakuna namna yan ..yan hapa atanyea debe kirahis rahisiii huku anaona yan