Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

Huyu naye kuna mahali anajichanganya. Kwa nini akimbilie peke yake eneo la tukio! Alishindwa kabisa kuita na majirani!!

Yaani mpaka anavunja ubao wa mlango (vent), akaingiza mkono na kufungu kitasa (hapa hata sijaelewa kabisa eti) na kuingia ndani, alikosa kabisa mtu wa kusaidiana naye!!

Hivi isije ikawa alikuwa anamkula mpangaji wake! Na baada ya mpangaji siku hiyo kuingiza njemba nyingine, akaingiwa na wivu uliopitiliza! Na kuamua kuwamaliza eti!!

Polisi wafanye uchunguzi wao wa kina kubaini chanzo hasa cha mauaji.
Nyie watu Ni wapumbavu ndio maana raia hawapendi kutoa ushirikiano Kwa polis Kwa sababu ya wajinga kama nyie ,mnajaribu kucheza kesi kuwa mtoa ushahidi anahusika ?



Ndio maana mim hata nikiona mtua anakufa nakataa nasema sikuona kabisa ,sababu ya mbwa kama nyie ,na polisi kumejaa wajinga kama nyie ,Kazi Ni kuanza kumshuku MTU aliyeona bila kutumia taaluma yenu kutatua matatizo ...
 
Kwa kuwa mlango ulikuwa umefungwa Hapo jibu ni kuwa huyo mwanaume ndio kauwa baada ya kuuwa akapagawa akaamua nayeye kujipiga bisu la tumbo case closed
Watakuta kisu chenye damu na fingerprints zake. Mbali na hayo kesi bado mbichi.
 
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.

Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.

Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.

“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.

Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.

Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.

Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.

MWANANCHI
Mke wa mtu tu tu tutu…SUMU
 
Kama unaishi na Mwanamke au Mwanaume au ukileta demu Gheto hakikisha unaondoa kisu rungu bastola nk siku mademu na wanawake hassa Hawa Malaya wana Hasira Sana anaweza kukukata pumbu kisa Vitu kidogo so hakikisha vitu vyenye ncha Kali unaviweka mbali pia unaweza hata ukamuomba jirani akuwekee .

Ila ikiwezekana jaribu kukaa mbali na ngono
 
Nyie watu Ni wapumbavu ndio maana raia hawapendi kutoa ushirikiano Kwa polis Kwa sababu ya wajinga kama nyie ,mnajaribu kucheza kesi kuwa mtoa ushahidi anahusika ?



Ndio maana mim hata nikiona mtua anakufa nakataa nasema sikuona kabisa ,sababu ya mbwa kama nyie ,na polisi kumejaa wajinga kama nyie ,Kazi Ni kuanza kumshuku MTU aliyeona bila kutumia taaluma yenu kutatua matatizo ...
Ubongo wako na ule wa kuku, hauna kabisa tofauti.
 
Nyie watu Ni wapumbavu ndio maana raia hawapendi kutoa ushirikiano Kwa polis Kwa sababu ya wajinga kama nyie ,mnajaribu kucheza kesi kuwa mtoa ushahidi anahusika ?



Ndio maana mim hata nikiona mtua anakufa nakataa nasema sikuona kabisa ,sababu ya mbwa kama nyie ,na polisi kumejaa wajinga kama nyie ,Kazi Ni kuanza kumshuku MTU aliyeona bila kutumia taaluma yenu kutatua matatizo ...
afadhali umenena mkuu
hata mimi nimewaza kwa hali hii kama ndo awalio wemgi wanawaza hivi pamoja na polisi wetu basi tumekwisha! Mana mtu hata ukiwa unataka kukata roho hatakusaidia mtu kwa mentality za kijinga namna hii
 
Kama unaishi na Mwanamke au Mwanaume au ukileta demu Gheto hakikisha unaondoa kisu rungu bastola nk siku mademu na wanawake hassa Hawa Malaya wana Hasira Sana anaweza kukukata pumbu kisa Vitu kidogo so hakikisha vitu vyenye ncha Kali unaviweka mbali pia unaweza hata ukamuomba jirani akuwekee .

Ila ikiwezekana jaribu kukaa mbali na ngono
nimekuelewa sana.
 
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.

Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.

Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.

“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.

Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.

Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.

Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.

MWANANCHI
Kwahiyo walikuwa wanaugomvi humo ndani?
 
Wagogo mm hapana kwakweli. Cjui wanao wanachinja ngombe au mbuzi.
 
Nimeachana na mke wangu wa ndoa miaka kibao bada ya kuniona nimechacha sasa Niko poa na nimeona mwanamke doctor bas anadai taraka na shampa how
 
Swali ni
1. Mwenye nyumba alisikia peke yake mtu akiomba msaada?
2. Ndani ya nyumba hakukuwa na mtu mwingine yoyote?
3. Na kama walikuwepo mpaka mwenye nyumba anavunja mlango, mpaka anawataarifu polisi hakukuwa hata na mtu mwingine kushuhudia
 
Back
Top Bottom