Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Asingeliingia ndani kupitia kijimlango cha juu bila ya kushirikisha PolisiMwenye nyumba atasaidia Polisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingeliingia ndani kupitia kijimlango cha juu bila ya kushirikisha PolisiMwenye nyumba atasaidia Polisi.
Ata serikali tu ya mtaa. Huyu wanae uyuAsingeliingia ndani kupitia kijimlango cha juu bila ya kushirikisha Polisi
Hapo safi.Nimeona wanahojiwa yeye na mke wake kumbe hakwenda peke yake nyumba inawapangaji kama 10 kwahiyo waliamka wote kwenda kuvunja.
Kama muuwaji karukia dirishani akatoroka nalo linawezekana piaMmoja kati yao alifanya tukio maana mwenye nyumba anasema mlango ulikuwa umefungwa kwa ndani
Muke wa mutu sumuWatu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.
Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.
Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.
Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.
“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.
Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.
Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.
Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.
MWANANCHI
Yuko sahihi Na ukitaka uhalali wa hiyo ndoa mpya bora ukubali talaka.La sivyo siku umedanja utashangaa sana(kaburini),maana huyo mke wa pili kisheria hatotambulika na hivyo kukosa hata vile vichache mlivyokusanya pamoja.Sawa ndugu zako waeza kumkingia kifua lakini sio rahisi kihivyo.Nimeachana na mke wangu wa ndoa miaka kibao bada ya kuniona nimechacha sasa Niko poa na nimeona mwanamke doctor bas anadai taraka na shampa how
Sikupingi mchizi wangu,[emoji1787][emoji1787] we ndo mchizi wanguuu!
Faza hausi anasema mlango ulikua umefungwa anavunja ubao wa juu ndio akaingia.
Inamaana walimalizana ndani.
Nilikua na wanaoa na mkeo juzi chanikaNAKAZIA
hapa najiuliza je waliuliwa au ni mmoja kati yao alifanya yake kisha akajitoa uha wakati mlango umekutwa umefungwa!
Maskini anaenda kukaa ndani kwa vitu visivyomhusu!Mwenye nyumba atasaidia Polisi.
butiama, machinjioni kuunga vikojoleoNilikua na wanaoa na mkeo juzi chanika
Kwani hao waliokufa ni wana ndoa??Kataa ndoa.
Ndoa ni mauaji
Kataa ndoa.
Ndoa ni mauaji
Mwanaume alimchinja mwanamke kisha Naye akajitoboa tumboSasa hapo nani wa kwanza kumua mwenziye
Ova
Alikuwepo wakati wa mauaji? Au kuwa na nyumba ni kosa?Kwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
🤣🤣Waliokufa kwenye ajali ya moto pale Msavu Moro wakikusikia wanaweza amka wakuchape!