Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

Nyie watu Ni wapumbavu ndio maana raia hawapendi kutoa ushirikiano Kwa polis Kwa sababu ya wajinga kama nyie ,mnajaribu kucheza kesi kuwa mtoa ushahidi anahusika ?



Ndio maana mim hata nikiona mtua anakufa nakataa nasema sikuona kabisa ,sababu ya mbwa kama nyie ,na polisi kumejaa wajinga kama nyie ,Kazi Ni kuanza kumshuku MTU aliyeona bila kutumia taaluma yenu kutatua matatizo ...
Polisi walivyo wehu wanaweza kumbinya pumbu huyo mwenye nyumba ili akiri kuhusika, hakuna weledi kabisa wa kazi wanategemea taarifa za umbea tu.
 
Nkmeona mahali mwenye nyumba akiongea hope ni fb, ila anavyofanana lazima atakuwa suspect
 
Swali ni
1. Mwenye nyumba alisikia peke yake mtu akiomba msaada?
2. Ndani ya nyumba hakukuwa na mtu mwingine yoyote?
3. Na kama walikuwepo mpaka mwenye nyumba anavunja mlango, mpaka anawataarifu polisi hakukuwa hata na mtu mwingine kushuhudia
Maswali yako yote yamejibiwa huko juu, kwanini hutaki kujishughulisha kusoma walichochangia wenzako? Tanzania ina WAJINGA WENGI SANA
 
Kwa kuwa mlango ulikuwa umefungwa Hapo jibu ni kuwa huyo mwanaume ndio kauwa baada ya kuuwa akapagawa akaamua nayeye kujipiga bisu la tumbo case closed
Hatuwezi kuthibitisha kuwa mlango ulikuwa umefungwa kwa ndani simply kwa kuamini maneno ya aliyeita polisi, vipi kama yeye ndiye aliyetelekeza hayo mauwaji kisha kutunga hiyo story.?

Sauti ya mtu alitoboka tumbo kiasi cha kutoka utumbo haiwezi kuwa kubwa kiasi cha kutoka kwenye chumba kilichofungwa hadi kufika aliko baba mweye nyumba unless alikuwa karibu, maana kitendo cha kuongea (kutoa sauti) kina uhusiano mkubwa sana na misuli ya tumbo.

Kama mwenye nyumba alikuwa karibu na hicho chumba, tutaangalia majira ya tukio kutokea kama yatatufanya tuamini kuwa ni kawaida yeye kuwa pale.


Wapimwe kama walikuwa wamelewa, kama walikuwa wamelewa maana yake inaongeza urahisi wa wao kufanyia ukatili na mtu mwingine mwenye nguvu (aliye sober), ambapo kura zitarudi kwa mwenye nyumba.


Kwahiyo nadhani umeona hilo tukio linaweza kutungiwa theories nyingi tu na zikaleta maana, badala ya kusema tu walijiua.


UCHUNGUZI UNAHITAJIKA.
 
Kama unaishi na Mwanamke au Mwanaume au ukileta demu Gheto hakikisha unaondoa kisu rungu bastola nk siku mademu na wanawake hassa Hawa Malaya wana Hasira Sana anaweza kukukata pumbu kisa Vitu kidogo so hakikisha vitu vyenye ncha Kali unaviweka mbali pia unaweza hata ukamuomba jirani akuwekee .

Ila ikiwezekana jaribu kukaa mbali na ngono
Kuna issue kama hii imetoka huko space kama kuna wadau wa space haya mambo ya kutongoza kwenye mitandao dem kamliza jamaa vitu sio chin ya thaman m 4

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.

Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.

Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.

“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.

Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.

Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.

Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.

MWANANCHI
Polosi watamsainisha mwenye nyumba maelezo ya kukiri kosa.


Dalili zote zinaonesha ivo
 
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki dunia huku mwanamke akiwa amechinjwa na mmwanaume ambaye hajafahamika jina akiwa na jeraha kubwa tumboni lililosababisha utumbo kutoka nje.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 katika Mtaa wa Oysterbay, Kata ya Dodoma Makulu kwenye chumba ambacho mwanamke aliyeuawa Samira Mathias alikuwa amepanga.

Akizungumza na Mwananchi katika eneo la tukio mwenye nyumba hiyo, Donald Nhembelo amesema alisikia kelele za kuomba msaada kutoka kwenye chumba cha mpangaji wake (Samira) saa 7.00 usiku.

Amesema baada ya kufika kwenye chumba hicho alisikia sauti ya mwanaume akiomba msaada ndipo alipouliza Samira yuko wapi na kujibiwa kuwa hawezi kuongea na yeye hawezi kusimama.

“Aliniomba nivunje mlango ili nimsaidie. Nilivunja ubao uliopo juu ya mlango (Venti) na kuingiza mkono kwa ndani na kufungua mlango na nilipowasha taa ndipo nilikuta Samira yuko juu ya kitanda amenyamaza,”amesema.

Amesema damu zilikuwa zimetapakaa kitandani na sakafuni huku mwanaume aliomba msaada ambaye hamfahamu akiwa amelala chini huku utumbo wake ukiwa nje.

Amesema baada ya kuona hali hiyo, aliripoti polisi ambao walifika kwenye eneo hilo ambao baadaye waliondoka na miili ya watu hao.

Balozi wa mtaa wa Oysterbay, Isaya Mabigiri amesema amepata taarifa za uwepo wa tukio kutoka kwa mwenye nyumba hiyo na alipokwenda alikuta miili ya watu.

MWANANCHI
Mwanamke amelala amekufa na mwanamume anaomba msaada lakini utumbo uko nje na hawezi kuinuka.
Mlango umefungwa kwa ndani isipokuwa mwenye nyumba anavijua vikomeo vilipo na dari halijavunjwa.Muuwaji wa wote wawili ni nani?.Au walishambuliana wenyewe kwa wenyewe?
 
Haya mambo ni magumu aisee,uishie kuyasoma tu usiombe yakukute....wapumzike kwa amani
 
Je kama dirisha lina gril mtu anapitaje? Kama nyumba haina dari alijifichaje? Ok kama kulikuwa na huyo third person aliwezaje kutekeleza hayo pasipo kushtukiwa na majirani na hizo rapsha ?
Unajaribu kusema nini? Mimi nimepinga ule msemo wa ku conclude kuwa ''kama mlango ulikuwa umefungwa basi mhusika ni kati ya hao wawili.'' Nikajaribu kupanua scenario zinazoweza kuwa zilikuwepo kwa kuuliza maswali. Sikufanya conclusion yoyote kwani bila kufanya uchunguzi huwezi kuwa certain! Unajachojaribu kubisha hapa ni nini?
 
Back
Top Bottom