Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Makisio 95% huwenda ni wanandoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makisio 95% huwenda ni wanandoa.
Wewe kama ni mpelelezi hufai. Mlango kufungwa kwa ndani ndiyo iwe lazima waliopo ndani ndiyo wamefanya? Kama kuna dirisha na muuaji alitumia dirisha kuingia na kutoka je? Kama muuaji alikuwa amejificha darini wakati mwenye nyumba anaingia je? Kama ni mwenye nyumba amewaua halafu akatunga uongo je?Mmoja kati yao alifanya tukio maana mwenye nyumba anasema mlango ulikuwa umefungwa kwa ndani
Haahahbutiama, machinjioni kuunga vikojoleo
Na ingekuwa mlango ulikutwa ukiwa wazi ama kufungwa kwa nje basi ningesema hili lilikuwa fumanizi. Ila kwa kuwa mlango ulifungwa kwa ndani basi mwanaume ndiye aliyefunga ili ampe mke kichapo.Kwa haraka haraka,
kama kisu ni kimoja,
mwanaume kamchinja mwanamke nae kajipiga bisu la tumbo.. alivyoona israel mtoa roho huyu hapa ikabidi aombe msaada.
Kama visu viwili, ina maana wapenzi walishikiana visu.
Duh kujua sana nako!Wewe kama ni mpelelezi hufai. Mlango kufungwa kwa ndani ndiyo iwe lazima waliopo ndani ndiyo wamefanya? Kama kuna dirisha na muuaji alitumia dirisha kuingia na kutoka je? Kama muuaji alikuwa amejificha darini wakati mwenye nyumba anaingia je? Kama ni mwenye nyumba amewaua halafu akatunga uongo je?
Huyu atakuwa saidia polisi. Siyo kila mshukiwa anakuwa mtuhumiwa bali wengine wanakuwa mashahidi na ama kuachiwa huru baada ya upelelezi.Kwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
Lakini kulingana na maelezo ya mwenye nyumba alipofika jamaa alikuwa anazungumza. Je, hakuweza kuelezea walau kwa kifupi kilichotokea?Kama muuwaji karukia dirishani akatoroka nalo linawezekana pia
Nafikiri mpenzi wake ndio kawafumania akawauwa wote wawili na kutoroka
Hii inawezekana pia
Kama exit ni moja hapo ni wameuwanahapa najiuliza je waliuliwa au ni mmoja kati yao alifanya yake kisha akajitoa uhai
WameuanaKwa haraka haraka,
kama kisu ni kimoja,
mwanaume kamchinja mwanamke nae kajipiga bisu la tumbo.. alivyoona israel mtoa roho huyu hapa ikabidi aombe msaada.
Kama visu viwili, ina maana wapenzi walishikiana visu.
dada kama anatumia majina bandia mbona kama kuna jambo hapaMama mzazi wa marehemu Esther, Rachel Izengo amesema jina la mtoto wake ni Esther Ramadhani Isugilo na siyo Samira Mathias ambalo lilizoeleka mtaani.
Esther amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Septemba 18, 2023 kwa madai ya kuchinjwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina moja la Amos.
Mapema leo asubuhi mmliki wa nyumba aliyokuwa amepanga Esther ambako kulifanyika mauaji hayo, Yohana Nhembelo alisema ndugu wameomba chumba kilichofanyika kisifanyiwe usafi hadi watakapofika na kukiangalia.
Amesema amepata taarifa ya kifo cha mtoto wake kupitia kwa majirani saa 10.00 usiku wa kuamkia leo akiwa mkoani Shinyanga ambako ndiko anakoishi.
Amesema alianza safari muda huo na kufika jijini Dodoma saa 8:00 leo ili kujua sababu ya kifo cha binti yake ambaye ni mtoto wa kwanza kati ya watoto watatu alionao.
“Nimesikitishwa sana na kifo cha mwanangu cha kuchinjwa kwa sababu ni kifungua mimba na sikutarajia kama atakufa kwa kifo kama hiki. Binti yangu alikuwa ni mtu wa watu,”amesema huku akiangua kilio baada ya kushuhudia chumba kichofanyika mauaji hayo.
Ndugu wa marehemu wamesema baada ya kuangalia hali ya mwili wa mtoto wao ndipo watafanya uamuzi wazike wapi.
Kamanda wa Polisi mkoani Dodoma, Martin Otieno amesema kuwa chanzo cha mauaji ya wapenzi hao waliokutwa wamefariki dunia usiku wa kuamkia ni wivu wa mapenzi.
Kamanda huyo amesema mwanaume aliyejulikana kwa jina moja la Amos alimchoma kisu maeneo ya shingoni Esther maeneo ya shingoni kama mara tatu na kupelekea koromeo kutoka nje na akawa amemchoma kwenye mkono begani kisha yeye kujichoma kisu kwenye kitovu na kupelekea utumbo wote kutoka nje.
(Imeandikwa na Sharon Sauwa)
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Je kama dirisha lina gril mtu anapitaje? Kama nyumba haina dari alijifichaje? Ok kama kulikuwa na huyo third person aliwezaje kutekeleza hayo pasipo kushtukiwa na majirani na hizo rapsha ?Wewe kama ni mpelelezi hufai. Mlango kufungwa kwa ndani ndiyo iwe lazima waliopo ndani ndiyo wamefanya? Kama kuna dirisha na muuaji alitumia dirisha kuingia na kutoka je? Kama muuaji alikuwa amejificha darini wakati mwenye nyumba anaingia je? Kama ni mwenye nyumba amewaua halafu akatunga uongo je?
We jamaa unajifanya mjuaji, ila kumbe hujui.Nadhani wengi hamjui kama macho ya marehemu yanatunza sura ya muuwaji, mnabwabwaja tu na wala hamjui kazi ya finger print.
Wewe unaweza kujifanya? hebu jaribu.We jamaa unajifanya mjuaji, ila kumbe hujui.