Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

hapa najiuliza je waliuliwa au ni mmoja kati yao alifanya yake kisha akajitoa uhai
Faza hausi anasema mlango ulikua umefungwa anavunja ubao wa juu ndio akaingia.

Inamaana walimalizana ndani.
 
Kwanini mshukiwa wakwanza asiwe mwenye nyumba?
Huyu naye kuna mahali anajichanganya. Kwa nini akimbilie peke yake eneo la tukio! Alishindwa kabisa kuita na majirani!!

Yaani mpaka anavunja ubao wa mlango (vent), akaingiza mkono na kufungu kitasa (hapa hata sijaelewa kabisa eti) na kuingia ndani, alikosa kabisa mtu wa kusaidiana naye!!

Hivi isije ikawa alikuwa anamkula mpangaji wake! Na baada ya mpangaji siku hiyo kuingiza njemba nyingine, akaingiwa na wivu uliopitiliza! Na kuamua kuwamaliza eti!!

Polisi wafanye uchunguzi wao wa kina kubaini chanzo hasa cha mauaji.
 
mlango umefungwa kwa ndani? Hapo alieomba msaada ndo mtekelezaji wa mauaji na kisha kujiua mwenyewe
 
Hii habari ina ukakasi, kichwa cha habari na story vinamvurugano maana sijaona sehemu inayoelezea mwanaume kufariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…