Pre GE2025 Dodoma: Wapiga Kura wakiwa na Vipeperushi vya mwenyekiti wa CCM Wakati wa Kujiandikisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo uchaguzi unahusu wakazi wa mtaa au kijiji

Hata mgeni raia wa nje ruksa kupiga kura mradi mkazi wa huo mtaa au kijiji
Anayechaguliwa ni kiongozi wa mtaa
Yakhe karibu Sheia yetu tumchague mwakilishi pasipo tatizo.
 
Amuone ili kitokee nini?
Ila Afrika kwenye kulinda viongozi tunajifanya tuko vizuri. Mbele mdudu nyuma mdudu Rais kasimama kati.
 
Nyuma yake kuna mlinzi mmoja na anafuata samia na mlinzi mwingine anafuata raia na mlinzi mwingine tena. Pengine hata ninaosema ni walinzi ni raia.
 
Ila kikinuka hakuna ulizi hapo ....trump assassination attempt walizi wengi walikuwa madem....trust me HAKUNA MWANAMKE KOMANDO...
 
Ndio, nyie endeleeni kuandamana tu, mkimaliza uchaguzi huu hapa, mnaanza kulia matokeo
Uchaguzi gani? Bongo hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama huamini nenda kaangalie. Idadi ndogo ya watu waliojotokeza kujiandikisha. Watu wameshastukia huo upuuzi uitwao uchaguzi.
 
Uchaguzi gani? Bongo hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Kama huamini nenda kaangalie. Idadi ndogo ya watu waliojotokeza kujiandikisha. Watu wameshastukia huo upuuzi uitwao uchaguzi.
Hao Hao ndio watachagua
 
hata wangekua na vipeperushi vya mwenyekiti wa CUF au chadema, haina shida wala athari zozote kwenye zoezi hilo, kwasbabu hapakua na kampeni na wala huyo anaeonekana kwenye hivyo vipeperushi si mgombea wa nafasi yoyote kwenye serikali za mitaa

infact,
wananchi wameshikilia vipeperushi vya kiongozi, mkuu wa nchi, Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…