Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Zoezi la kujiandikisha katika Daftari la Mpiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu limeanza leo Oktoba 11, 2024 nchini nzima na litaendelea hadi Oktoba 20, 2024.
Rais Samia na yeye ametimiza haki yake ya Kikatiba, hapa akiwa kwenye foleni na wakazi wa Kijiji cha Chamwino mkoani Dodoma katika zoezi la kujiandikisha lakini baadhi ya Wapiga kura wameenda kujiandikisha wakiwa wameshikishwa vipeperushi vya mwenyekiti wa CCM.
Tujiulize. Je, ni sawa Wananchi kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wakiwa wameshikishwa vipeperushi vya mwenyekiti wa CCM?
Soma, Pia:
+ Rais Samia Kuzindua Rasmi Zoezi la Kuandikisha Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Oktoba 11, 2024
+ Tofauti ya Daftari la Kudumu la Wapigakura na Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa
Rais Samia na yeye ametimiza haki yake ya Kikatiba, hapa akiwa kwenye foleni na wakazi wa Kijiji cha Chamwino mkoani Dodoma katika zoezi la kujiandikisha lakini baadhi ya Wapiga kura wameenda kujiandikisha wakiwa wameshikishwa vipeperushi vya mwenyekiti wa CCM.
Tujiulize. Je, ni sawa Wananchi kujiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa wakiwa wameshikishwa vipeperushi vya mwenyekiti wa CCM?
Soma, Pia:
+ Rais Samia Kuzindua Rasmi Zoezi la Kuandikisha Wapiga Kura wa Serikali za Mitaa Oktoba 11, 2024
+ Tofauti ya Daftari la Kudumu la Wapigakura na Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa