Dodoma watengenezewe beach artificial

Dodoma watengenezewe beach artificial

Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.
View attachment 3040826View attachment 3040827
Wakati ule mzee wa Ubwabwa (Hashimu Rungwe) aliposema atahakikisha Dodoma kirahisi kabisa mnakuwa na beach (atapeleka bahari) wengi walimchukua poa na kumdhihaki kumbe mwamba alikuwa na exposure kubwa na alijua alichokuwa anakisema.

Sasa tukamkataa mzee wa watu, ambaye alijipanga tuwe tunapiga ubwabwa wa uhakika tukawachagua hawa mbuzi wa kijani wakauza bandari mpaka mbuga na kisha kuzurura tu duniani kukopa kukopa.
 
Nikuthubutu kupata mwekezaji inawezekana mfano makambako walikuwa na eneo oevu kubwa baadhi ya watu wametumia fursa ku create beach na zinawaingizia pesa mfano mojawapo wa hizo beach ni hii Ina ekari kumi
1721524073730.jpg
1721523982083.jpg
1721524087976.jpg
1721523970286.jpg
1721524164551.jpg
1721523992769.jpg
1703468856058.jpg
FB_IMG_16718394361224932.jpg
FB_IMG_16718394285625805.jpg
FB_IMG_16718081492893228.jpg
FB_IMG_16700977125358758.jpg
FB_IMG_16721134174282919.jpg
 

Attachments

  • 1721524087976.jpg
    1721524087976.jpg
    149.5 KB · Views: 4
Tatizo watani zangu wagogo ndio watafanya kwa kushinda hapo. Bora walete Bariadi hilo fukwe. 😁
 
Badala ya kumalizia Bwawa umeme ushuke bei au kufanya gharama ya Train mwendokasi kuwa sawa na daladala watu waweze kuishi Morogoro na kufanya kazi Dar, Pesa / Kodi zetu tuweke kwenye hizi risky luxurious investments ?!!!!

Kama wewe unaona huo mradi unalipa basi kusanya wadau wako nendeni mkafanye tena mfanye kwa nunua ardhi na sio kupewa bure kwa mgongo wa uwekezaji alafu kesho na keshokutwa mnauziana mradi kwa bei za hasara...
 
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.

Si ukafanye wewe mradi huo, unangoja nini?

Afrika Kusini ni mradi binafsi huo.
 
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.
View attachment 3040826View attachment 3040827
Wazo zuri kwani tutapata sehemu ya kujisaidia saa za jioni na alfajiri.
 
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.
View attachment 3040826View attachment 3040827
Serikali ijenge Beach, akili za kijinga hizi
 
Fursa mlizonazo kuna nchi duniani hawana hata moja zaidi ya ardhi tu bila maji

Nyie mna Mito hamjui ina faida gani kwenu, mna maziwa ambayo vvyanzo vya vipato hata hamuwezi kulisha watoto 1000
Bahari hiyo na bandari

Ni wazo zuri ila sio kwa sisi tusiojua maana ya maji na faida zake

Thailand wana floating market nimeiona watu wanafanya biashara za mboga na matunda kwenye mto
Nyie mito sijui hata kama itakuja kuwapa faida
Hii nchi viongozi wakifa kaburini ni adhabu tuuu hawana hata unafuu mda wote
 
Hii nchi viongozi wakifa kaburini ni adhabu tuuu hawana hata unafuu mda wote
Na iwe hivyo wao wanatafuta viungo vya albino tu
Na wao wakizikwa kaburi linamwagiwa zege
Wanajua nao viungo vitabebwa
Ila wataungua milele tuseme Emiin
 
Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu.

Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi ili kuongeza ajira na uwekezaji hapo Dodoma..inawezekana kabisa maendeleo hayo.
View attachment 3040826View attachment 3040827
Mkuu kwahiyo watu wa Dodoma hua unawaelewa hao,mbona kama hamnazo kabisa hao
 
Serikali gani hiyo🤔 hii serikali ya ccm ambayo kwa 60+ bado matundu ya vyoo mashuleni na madawati ni kitendawili ambacho jibu lake linatafutwa 🤔
Wanajifanya kununua magari ya kifahari wakati wanaowaongoza ni garagaja watupu
 
Wakati ule mzee wa Ubwabwa (Hashimu Rungwe) aliposema atahakikisha Dodoma kirahisi kabisa mnakuwa na beach (atapeleka bahari) wengi walimchukua poa na kumdhihaki kumbe mwamba alikuwa na exposure kubwa na alijua alichokuwa anakisema.

Sasa tukamkataa mzee wa watu, ambaye alijipanga tuwe tunapiga ubwabwa wa uhakika tukawachagua hawa mbuzi wa kijani wakauza bandari mpaka mbuga na kisha kuzurura tu duniani kukopa kukopa.
Wanataka kuchimba madini Serengeti,huyu bibi msipomzuia ataacha mashimo kila Kona,hivi Gen Z wameshindwa kabisa kuwatowa Hawa kijani kabisa
 
Back
Top Bottom