Dodoma: Watu 5 wa Familia moja wauawa

Dodoma: Watu 5 wa Familia moja wauawa

H
Usaliti au dhuruma vinaweza kuwa sababu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama jamani ndio wadhulumiwe nafsi kiasi hicho. Wengine tumesalitiwa kuumizwa na kudhulumiwa vibaya lakini kiasi kwamba tulikuwa na haki ya kulipiza ila tunakuaga, potezea na kuumia kimya kimya hivyo hivyo.

Wakamatwe mara moja nawashughulikiwe kwa kunyongwa hadi kufa.
 
H

Hata kama jamani ndio wadhulumiwe nafsi kiasi hicho. Wengine tumesalitiwa kuumizwa na kudhulumiwa vibaya lakini kiasi kwamba tulikuwa na haki ya kulipiza ila tunakuaga, potezea na kuumia kimya kimya hivyo hivyo.

Wakamatwe mara moja nawashughulikiwe kwa kunyongwa hadi kufa.
Nyie si mna mioyo dhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie si mna mioyo dhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunamuachia Mungu ogopa iyo kauli. Mimi naondoaga stress zangu za kusalitiwa na kudhulumiwa humu Jamvini kwa kuwin members kisaikolojia basi huwa moyo utulia kweli member mnyonge anaponitukana baada ya kumuwin kisaikolojia.

Inanisaidiaga Sana nafsi. Ila siku hizi members wengi wamenijua wananipotezea basi naumia kichiz. Unakuta siku hizi wiki inaweza kupita sijamuwin mtu kisaikolojia basi nasaka na kusaka. NDIO njia pekee ya stress relief kwangu.
 
Tunamuachia Mungu ogopa iyo kauli. Mimi naondoaga stress zangu za kusalitiwa na kudhulumiwa humu Jamvini kwa kuwin members kisaikolojia basi huwa moyo utulia kweli member mnyonge anaponitukana baada ya kumuwin kisaikolojia. Inanisaidiaga Sana nafsi. Ila siku hizi members wengi wamenijua wananipotezea basi naumia kichiz. Unakuta siku hizi wiki inaweza kupita sijamuwin mtu kisaikolojia basi nasaka na kusaka. NDIO njia pekee ya stress relief
How do u win members psychologically ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How do u win members psychologically ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani uchokozi tu. Unakuta mada imeletwa ya mgao wa umeme. Mimi na comment, watanzania tunapenda na kuendekeza anasa sana. Kwani hatuwez kuishi bila umeme? Mbona mababu zetu walitumia kuni na mbalamwez na wakiishi vizuri tu na furaha.

Basi kuna mnyonge atapitia iyo comment na kumind na kuanza kuniporomoshea matusi. Basi hapo nafurahi kichiz tayari nimeshamuwi n kisaikolojia.kuna wengine wanakereka wananifuataga hadi PM poromosha matusi ya laana.
 
Yani uchokozi tu. Unakuta mada imeletwa ya mgao wa umeme. Mimi na comment, watanzania tunapenda na kuendekeza anasa sana. Kwani hatuwez kuishi bila umeme. Mbona mababu zetu walitumia kuni na mbalamwez na wakiishi vizuri tu na furaha.

Basi kuna mnyonge atapitia iyo comment na kumind na kuanza kuniporomoshea matusi. Basi hapo nafurahi kichiz tayari nimeshamuwi n kisaikolojia.kuna wengine wanakereka wananifuataga hadi PM poromosha matusi ya laana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kisasi kimepitiliza yaani unaondoa familia nzima aisee sio mchezo

Kuna watu wana roho mbaya sana dunia hii
Huwa nafuatilia sana crimes zinazotokea duniani na utashangaa na kupata mshtuko jinsi binadamu walivyo na roho za kinyama

Ndugu au mtoto kuuwa wazazi yapo sana
Au dhuluma, Tamaa pia zinasababisha haya
 
Yani uchokozi tu. Unakuta mada imeletwa ya mgao wa umeme. Mimi na comment, watanzania tunapenda na kuendekeza anasa sana. Kwani hatuwez kuishi bila umeme? Mbona mababu zetu walitumia kuni na mbalamwez na wakiishi vizuri tu na furaha.

Basi kuna mnyonge atapitia iyo comment na kumind na kuanza kuniporomoshea matusi. Basi hapo nafurahi kichiz tayari nimeshamuwi n kisaikolojia.kuna wengine wanakereka wananifuataga hadi PM poromosha matusi ya laana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa hunipati sasa nimekujua [emoji12][emoji12]
 
Kuna watu wana roho mbaya sana dunia hii
Huwa nafuatilia sana crimes zinazotokea duniani na utashangaa na kupata mshtuko jinsi binadamu walivyo na roho za kinyama

Ndugu au mtoto kuuwa wazazi yapo sana
Au dhuluma, Tamaa pia zinasababisha haya
Nadhani na hata kukosa mafunzo sahihi ya kiimani na dini pia huchangia kuwa na roho sizizo na huruma
 
Nadhani na hata kukosa mafunzo sahihi ya kiimani na dini pia huchangia kuwa na roho sizizo na huruma

Hili nalo neno
Dini imenifundisha mengi sana kiasi ambacho siwezi kuwa na hasira hata siku moja na kusema huyu kaniudhi acha nibebe panga nikamuuwe Never

Hapo dini inachangia kitu kikubwa sana
Malezi pia kwa kufuata wazazi jinsi walivyotukuza kwa upendo
Naamini ukatili ni kutokuwa na mafunzo ya kiimani zaidi
 
Back
Top Bottom