Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Si wakati wa kuwashindanisha Nape na slow slow! Tushukuru kujua kuwa serikali bado ni kijambazi kwa jina la wasiojulikana!
 
Kumbe nani kawatuma? Tena tunataka atume kuwafanyinzia makatili wote waliokuwa pamoja na Magufuli ili waione karma.
Kwa hiyo Samia nae ni dhalimu kama Magufuli na hivyo kawatuma kumfanyia hivyo polepole
 
Kumbe nani kawatuma? Tena tunataka atume kuwafanyinzia makatili wote waliokuwa pamoja na Magufuli ili waione karma.
Kwahiyo nae ni dhalimu?

Vipi kwanza gaidi anatoka lini?
 
Una huo ushahidi jalada alijafunguliwa?

Ni hivi swala la Lissu ni pana, kosa la Magufuli ni kuropoka; ndio kitu kinachofanya awe suspect number 1.

Lakini with time tumejua Mbowe ana mawasiliano na trained military personnel capable of doing that mission effectively and disappear from the scene.

Sasa sisemi ni tukio la kupangwa na CDM, linaweza kuwa la kupangwa na maadui wa Magufuli serikalini it is obvious now alikuwa nao wengi kumbe au hata kupangwa na Magufuli mwenyewe. In other words it an open book anything is possible.

Maswali ni mengi kushinda majibu, mfano Lissu ana utaratibu wa kurudi nyumbani kwake mida ile kila siku; if not wahusika walijuaje atakuwa hapo mida hiyo.

Maswali mengine ya uchunguzi yana muhitaji Lissu mwenyewe ambae kagoma kutoa ushirikiano.

Siku njema.
Acha porojo za kutetea uhuni wa serikali ya Magufuli dhidi ya Lissu, twambie nani mwenye mamlaka aliyeamrisha cctv camera kuondolewa kama siyo serikali.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Ndiyo akome
 
Abdu Nondo alijiteka, Pole pole amejiibia.
CCM hoyeeeee!!! Chama ni kikubwa kuliko polepole, aache ujinga hilo ni onyo la kwanza akiendelea yatakayomkuta asiseme hatukumwambia.
Mwenzie Gwaji boy alipigwa mkwaea na Ndugai akatulia tuli anatii mamlaka.
Pole pole nenda kasome kasome kitabu cha "kesi ya Sokreti ".
Utajifunza kutii mamlaka.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Dodoma kunani tena palee!?
Alianza Tundu Lissu kumiminiwa risasi, ikaja suala la Mbowe kuvunjika mguu!
Ikatokea minong'ono vifo vya Mahiga na Mfugale.
Sasa ni Polepole kuibiwa na kuharibiwa mali zake.

Sasa kituo kinachofuata ni...,
 
CCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
Hili tukio katengeneza
Hakuna mwenye ujasiri kwa hili
Kuna mtu anatafutiwa kesi
Nape asijiamini saaaana
Kwa ufupi wote wahuni seeking attention
Kwanza hii ni nyumba au guest room au ofisi
Huu mchezo wa kipumbavu kabisa

Watu wasitoke kwenye mstari
Katiba Mpya uwe wimbo
 
Hapo nyumbani anaishi peke yake? Hana mke, hana watoto huyu jamaa?
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Pole pole katubu kwanza ,alafu nitafute nikupe Upako wa gusa unate for free,ACHA kulia Lia ,hata mlipo mvunja mguu mh Mbowe mlikua mnacheka ,

Sasa timiza Ayo kwanza nimekwambia
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
KAVUNJA MWENYEWE KUTAFUTA HURUMA. AISAIDIE POLISI HUYO POLEPOLE.
 
Karma is a bitch .

Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea, kina Lissu wanapigwa risasi anaona poa.

Ni funzo kubwa, alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi, Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka. Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
Kafanya mwenyewe huyo actor....Hiyo ni fake hakuna ukweli hapo. Polisi mkamateni kwa uhuni anaoufanya, Kwanini hajaripoti polisi kama hatua ya kwanza? Analeta kwenye media ili apewe huruma, tapeli huyo
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259


Watanzania wanapenda drama. Polepole ana umuhimu gani hivyo😂😂😂 anatengeneza mambo
 
Sakata la Lissu lipo wazi, madhara yaliyomkuta sio ya kumuombea binadamu yoyote.

Lakini Lissu amekataa kutoa ushirikiano na jeshi la polisi katika upalelezi wao, upande huo uwa amtaki kuongelea.

Kama muhusika utaki kushirikiana na polisi unataka wafanyaje, yeye anachodai keshaongea sana kwenye media so story yake wanayo, hivyo ndio upelelezi unavyofanywa kweli.

Una dereva gari imemiminwa risasi kibao randomly yeye aijampata ata moja gari ilipakiwa katika angle gani yeye asiguswe? What are the odds of that happening in random shooting. Watu wafyatue semi automatic zimpate mtu mmoja tu, inaingia akilini kweli lazima hizo risasi zilipigwa at an angle.

Maswali ni mengi muhusika ataki ushirikiano na polisi.
Sasa utashirikiana vipi na unaowahisi ndio wamimina risasi? Au kichwa chako kibovu Nini? Kwahiyo Lissu na Dereva wake wangelikufa uchunguzi usingelifanywa? CCTV Camera Zina ushahidi wote na ziliondolewa ili wafanye yao.
 
ha! Kumbe ni zamu kwa zamu.
Kuna mengi ya kujifunza katika tukio hili
Ningefurahi sana kama M Mungu angewapa CCM fikra za kujifunza. Ila ninawasiwasi kama wanaweza kuzipata leo, kesho au keshokutwa. Hapa ndio tatizo lilipo.

Nilimsikiliza Rais Mwinyi (Z-zibar) akieleza tusahau yaliyotokea kwenye uchaguzi Z-zibar 2020, anawasihi wa Z-bari wasonge mbele bila kukumbushia hayo yaliyotokea. Sikumuelewa kwa kweli! Hivi hawakujifunza yaliyotokea 2000, 2005, 2010, 2015..... Na hakuna kipindi wahusika wamefikishwa mahakamani.... Hii ndio CCM, kila siku ni darasa la kwanza mnaanza kujifunza ALFABETI
 
Habari zenu wakuu. Baada ya kufuatilia maelezo ya polisi kwa kina, nimeamini kuwa hili tukio la ndugu yetu "taratibu" lilipangwa eidha na mwenyewe au na watu waliopo karibu yake ili kujaribu kujibust kidogo baada ya kuona kila analoongea huko mitandaoni watu hawana muda nalo. Nimeshangaa kusikia mtu alieibiwa TV Screen 1, na Sub-woofer 1, eti hajui thamani yake. Yani mtu uende dukani kununua viatu siku moja uvifue na kuvianika afu wezi wavipitie, baadae utoe taarifa kwa watu afu wakuulize thamani ya viatu ulivyoibiwa afu ww useme haujui? Ama kweli njia ya muongo ni fupi sana. Ngoja hili lipite tuone atakuja na lipi tena lingine.
 
Back
Top Bottom