Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Samia nae ni dhalimu kama Magufuli na hivyo kawatuma kumfanyia hivyo polepole
Kwahiyo nae ni dhalimu?Kumbe nani kawatuma? Tena tunataka atume kuwafanyinzia makatili wote waliokuwa pamoja na Magufuli ili waione karma.
Acha porojo za kutetea uhuni wa serikali ya Magufuli dhidi ya Lissu, twambie nani mwenye mamlaka aliyeamrisha cctv camera kuondolewa kama siyo serikali.Una huo ushahidi jalada alijafunguliwa?
Ni hivi swala la Lissu ni pana, kosa la Magufuli ni kuropoka; ndio kitu kinachofanya awe suspect number 1.
Lakini with time tumejua Mbowe ana mawasiliano na trained military personnel capable of doing that mission effectively and disappear from the scene.
Sasa sisemi ni tukio la kupangwa na CDM, linaweza kuwa la kupangwa na maadui wa Magufuli serikalini it is obvious now alikuwa nao wengi kumbe au hata kupangwa na Magufuli mwenyewe. In other words it an open book anything is possible.
Maswali ni mengi kushinda majibu, mfano Lissu ana utaratibu wa kurudi nyumbani kwake mida ile kila siku; if not wahusika walijuaje atakuwa hapo mida hiyo.
Maswali mengine ya uchunguzi yana muhitaji Lissu mwenyewe ambae kagoma kutoa ushirikiano.
Siku njema.
Ndiyo akomeHabari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
Kama ulivyo mpuuzi wewe pamoja na Polepole.Nape ni mpuuzi tu
Dodoma kunani tena palee!?Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
Hili tukio katengenezaCCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
Hakika...Hahahahahah nilikua Natafuta comment Yako,nilitegemea ulichokiandika hapa mkuu,et vita ya uchumi ni ngumu sana
Unataka kusema mabeberu waneanza hujuma Kwa WAZALENDO waliotukuka kama ndugu chakubanga?
😂😂😂😂😂😂
Pole pole katubu kwanza ,alafu nitafute nikupe Upako wa gusa unate for free,ACHA kulia Lia ,hata mlipo mvunja mguu mh Mbowe mlikua mnacheka ,Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
KAVUNJA MWENYEWE KUTAFUTA HURUMA. AISAIDIE POLISI HUYO POLEPOLE.Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
Kafanya mwenyewe huyo actor....Hiyo ni fake hakuna ukweli hapo. Polisi mkamateni kwa uhuni anaoufanya, Kwanini hajaripoti polisi kama hatua ya kwanza? Analeta kwenye media ili apewe huruma, tapeli huyoKarma is a bitch .
Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea, kina Lissu wanapigwa risasi anaona poa.
Ni funzo kubwa, alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi, Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka. Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
=====
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,
Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha
Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo
"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.
View attachment 2042259
Sasa utashirikiana vipi na unaowahisi ndio wamimina risasi? Au kichwa chako kibovu Nini? Kwahiyo Lissu na Dereva wake wangelikufa uchunguzi usingelifanywa? CCTV Camera Zina ushahidi wote na ziliondolewa ili wafanye yao.Sakata la Lissu lipo wazi, madhara yaliyomkuta sio ya kumuombea binadamu yoyote.
Lakini Lissu amekataa kutoa ushirikiano na jeshi la polisi katika upalelezi wao, upande huo uwa amtaki kuongelea.
Kama muhusika utaki kushirikiana na polisi unataka wafanyaje, yeye anachodai keshaongea sana kwenye media so story yake wanayo, hivyo ndio upelelezi unavyofanywa kweli.
Una dereva gari imemiminwa risasi kibao randomly yeye aijampata ata moja gari ilipakiwa katika angle gani yeye asiguswe? What are the odds of that happening in random shooting. Watu wafyatue semi automatic zimpate mtu mmoja tu, inaingia akilini kweli lazima hizo risasi zilipigwa at an angle.
Maswali ni mengi muhusika ataki ushirikiano na polisi.
Ningefurahi sana kama M Mungu angewapa CCM fikra za kujifunza. Ila ninawasiwasi kama wanaweza kuzipata leo, kesho au keshokutwa. Hapa ndio tatizo lilipo.ha! Kumbe ni zamu kwa zamu.
Kuna mengi ya kujifunza katika tukio hili