Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
kumbe hao jamaa wapo na upande wa pili? mi nilijua wasiojulikana wapo upinzan pekeeeeeeee.....safi sana kama picha ndio lipo ivyo
 
Anajitengenezea kiki na wapush gang wenzake huyo.
Wanacheza movie ya kitoto kabisa.

Wakati wanajua kabisa hakuna mwenye ushawishi.

Serkali haiwezi kumfuatilia mpuuzi kama huyo.
hujawasikia Nape na Bulembo walivyohamaki......kwanini wahamaki kwa mtu asiye na ushawishi?
 
Kuna aliyesema ameona KY jelly. Hii inatumikaje kwa mwanaume?
 
Mhe. Polepole inabidi amiliki Pisto kwa usalama wake
Mtu atakua na viete akose pisto?
Tatizo kujua kuitumia.
Lissu alishambuliwa na silaha ya kivita zaidi ya magazine ilitumika lkn matokeo tumeyaona.
 
Uongozi wa nchi uliojaa visasi unatuma watu kwenda kwa mbunge unavunja nyumba unapekua kila kona unachokitafuta unakijua mwenyewe.
Visasi vinavyoendelea kwa sasa dhidi ya viongozi waliokuwa chini ya JPM hautaicha salama Tanzania kabla ya 2023.

Zimesikika kauli za viongozi kadhaa wengine wako madarakani na wengine ni wastaafu wakimtishia maisha na kumfukuza uanachama wa CCM Humphrey Polepole,hii ni fedheha sana na ndio ya chanzo cha migogoro na vurugu kwenye jamii.

Watanzania wanatakiwa kuikataa tabia hii ya kihuni na viongozi wote waliosikika kwa nyakati tofauiti wakimtishia maisha au kumwajibisha mbunge huyo kutokana na kukosoa mwenendo wa nchi wanawajibika na matendo haya ya kifedhuli na Mungu atawatia adabu.

Pole sana HHP hujafa hujaumbika ndani ya nyumba yenu kuna majambazi yaliyokubuhu yakitafuta upenyo wa kunyamazisha sauti zinazotetea wananchi wa chini. Wito kwa jeshi la polisi fanyeni uchunguzi na mchukue hatua stahiki dhidi ya wote wanaohusika kisha wapelekwe mahakamani
Wakati Magufuli akifanyia watu uhayawani, kuwateka na kuwaua wakosoaji mlikuwa kimya, sasa mmeguswa mnasema nchi haitabaki salama kabla ya 2023. Tulisema dhuluma haidumu, sasa yanatokea yale yake mliyoona ni haki kwa wengine kisa uzalendo uchwara wa Magufuli. Tunataka tusibaki salama ili tuheshimiane.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Kwa hiyo tuseme na Polepole ameanza kuonja maumivu ya akina Lissu? Akina Azori? Akina Akwilina? Akina Nape? Na bado
 
Muua kwa upnga huuliwa kwa upanga pia. Dodoma hiyo hiyo walikotuma watu wamuue Lissu, naye yanamkuta. Na bado, watakapa kituuu..
 
Kwenye ukurasa wa Polepole kule FB. Kila aliye comment amemshambulia mzee wa viete.
Kumbe Polepole hapendwi Kama nyoka....
 
hujawasikia Nape na Bulembo walivyohamaki......kwanini wahamaki kwa mtu asiye na ushawishi?
Ukitaka kujua kama ana ushawishi au hana angalia kila Uzi utakao anzishwa humu jf kuhusu huyo jamaa utaona wachangiaji ni wengi including you !! Karma IPO kazini !!
 
Wakati Magufuli akifanyia watu uhayawani, kuwateka na kuwaua wakosoaji mlikuwa kimya, sasa mmeguswa mnasema nchi haitabaki salama kabla ya 2023. Tulisema dhuluma haidumu, sasa yanatokea yale yake mliyoona ni haki kwa wengine kisa uzalendo uchwara wa Magufuli. Tunataka tusibaki salama ili tuheshimiane.
Mimi naona hata hivyo bado. Angepatikana kwenye kiroba kama enzi za akina Polepole ningemwonea huruma. CCM ni shida. Ujinga, maradhi, Umaskini, na CCM ndio maadui wakubwa wa Taifa
 
Mbona kitanda na chumba vina onekana kama hotelini? Mbona haja onyesha sitting room au eneo jingine. Hata palipo vunjwa haja onyesha.
Hili ni igizo
 
Upambe nuksi sana na hapa inabidi tujifunze kitu mama Samia hawezi kutuma watu kufanya upuuzi wa aina hiyo.

Ata kwa Magufuli ilikuwa ivyo ivyo mambo mengine ni wapambe tu; hawa watu ogopa.
Kama ni wapambe tu, attitude na vitendo vya serikali kuhusu hili tukio vitathibitisha hilo. Polepole anasema karipoti polisi. Tutaona kitakachoendelea.

Magufuli, was an open book. Lissu alipopigwa risasi Dodoma, kauli na vitendo vya serikali vilithibitisha mhusika mkuu ni nani. Reaction ya polisi, mahakama, CCM, bunge, n.k. hadi leo ni dhahiri. Vivyo hivyo kwa adha walizopata wapinzani kadhaa hata ndani ya CCM (opposition & dissenters). The same goes on.

Ni ajabu sana kwa mtu kama Polepole kujifanya hajui “philosophy” na modus operandi ya utawala wa CCM.
 
Kwenye ukurasa wa Polepole kule FB. Kila aliye comment amemshambulia mzee wa viete.
Kumbe Polepole hapendwi Kama nyoka....
Si msaliti ndumilakuwili

Leo anakuambia hii nyekundu kesho nyekundu

Anakuambia nyeusi

#atii na kuheshim mamlaka

Ova
 
Back
Top Bottom