Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Mood humu kuna nyuzi nyingi tu zinazomuhusu Pole Pole mmeacha zijitegemee bila kuziunganisha na uzi mungine, lkn wa kwangu ndo mmeona wa kuunganishwa. Kama hamuhitaji baadhi ya watu tuwe tunaandika chochote ni bora mkatutahadharisha mapema ili tuachane na jukwaa lenu kuliko kufanya jambo bila kushauriana na anaefanyiwa. Naomba muufute kabisa uzi wang maana sioni sababu au faida ya kuendelea kuachwa hapa. Mbaki na hizo mnazozitaka zisomwe hapa jukwaani.