Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

Mood humu kuna nyuzi nyingi tu zinazomuhusu Pole Pole mmeacha zijitegemee bila kuziunganisha na uzi mungine, lkn wa kwangu ndo mmeona wa kuunganishwa. Kama hamuhitaji baadhi ya watu tuwe tunaandika chochote ni bora mkatutahadharisha mapema ili tuachane na jukwaa lenu kuliko kufanya jambo bila kushauriana na anaefanyiwa. Naomba muufute kabisa uzi wang maana sioni sababu au faida ya kuendelea kuachwa hapa. Mbaki na hizo mnazozitaka zisomwe hapa jukwaani.
 
Habari zenu wakuu. Baada ya kufuatilia maelezo ya polisi kwa kina, nimeamini kuwa hili tukio la ndugu yetu "taratibu" lilipangwa eidha na mwenyewe au na watu waliopo karibu yake ili kujaribu kujibust kidogo baada ya kuona kila analoongea huko mitandaoni watu hawana muda nalo. Nimeshangaa kusikia mtu alieibiwa TV Screen 1, na Sub-woofer 1, eti hajui thamani yake. Yani mtu uende dukani kununua viatu siku moja uvifue na kuvianika afu wezi wavipitie, baadae utoe taarifa kwa watu afu wakuulize thamani ya viatu ulivyoibiwa afu ww useme haujui? Ama kweli njia ya muongo ni fupi sana. Ngoja hili lipite tuone atakuja na lipi tena lingine.
Kwakuwa amekiuka miiko yenu haupo nyuma ya huo mpango wa kumnyamazisha kweli?
 
Habari zenu wakuu. Baada ya kufuatilia maelezo ya polisi kwa kina, nimeamini kuwa hili tukio la ndugu yetu "taratibu" lilipangwa eidha na mwenyewe au na watu waliopo karibu yake ili kujaribu kujibust kidogo baada ya kuona kila analoongea huko mitandaoni watu hawana muda nalo. Nimeshangaa kusikia mtu alieibiwa TV Screen 1, na Sub-woofer 1, eti hajui thamani yake. Yani mtu uende dukani kununua viatu siku moja uvifue na kuvianika afu wezi wavipitie, baadae utoe taarifa kwa watu afu wakuulize thamani ya viatu ulivyoibiwa afu ww useme haujui? Ama kweli njia ya muongo ni fupi sana. Ngoja hili lipite tuone atakuja na lipi tena lingine.
1) Polisi huwa hawana taratibu za kukamilisha uchunguzi kwa haraka kiasi hicho- Tukio lilitokea usiku wa jana mara leo hii uchunguzi umekamilika.
2) Hata mimi ukiniuliza bei ya TV yangu na, suti ya harusi na jiko la kupikia sijui. Kwa vile nilipewa zawadi na shemeji yangu wa Afrika kusini. Na kutokana na tamaduni zao, zawadi kamwe husemi bei wakiamini kuwa zawadi hutolewa toka moyoni na si kutokana thamani ya kitu.

Hivyo kwangu kutojua bei ya TV wala sio ishu.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Hivi Tafsiri ya Nyumba siku hizi imebadilika? Si angesema tu watu wamevania chumbani kwake na kukuta mafuta ya KY?
 
Mbona Lissu hamkutoa wito ajibiwe kwa hoja?
kwahyo unaafiki kunyamazishana kwa njia ya vitisho sio.

Je huo ni msimamo wako au ni wa taasisi unayoishabakia?

Kwa maneno mengne unapingana na peter msigwa kuhusu hili la kujaribu kumnyamazisha polepole kimaguvu.

Hv katika akili ya kawaida, ni polepole himself ndiye unaamini aliyewaziba midomo wapinzani!
 
Mood humu kuna nyuzi nyingi tu zinazomuhusu Pole Pole mmeacha zijitegemee bila kuziunganisha na uzi mungine, lkn wa kwangu ndo mmeona wa kuunganishwa. Kama hamuhitaji baadhi ya watu tuwe tunaandika chochote ni bora mkatutahadharisha mapema ili tuachane na jukwaa lenu kuliko kufanya jambo bila kushauriana na anaefanyiwa. Naomba muufute kabisa uzi wang maana sioni sababu au faida ya kuendelea kuachwa hapa. Mbaki na hizo mnazozitaka zisomwe hapa jukwaani.
Sawa tu walivyofanya mara nyingi nimekuwa nikijisea ningekuwa mods, miongoni mwa ambao wangekula ban nyingi acha kuunganishiwa nyuzi ni pamoja na anayelialia.
 
Pole pole anavuruga nyumba yake mwenyewe halafu anaichafua serikali yetu. Polepole ni mhuni.

Kinachoenda kwa kuzunguka kinarudi kwa kuzunguka.
 
1) Polisi huwa hawana taratibu za kukamilisha uchunguzi kwa haraka kiasi hicho- Tukio lilitokea usiku wa jana mara leo hii uchunguzi umekamilika.
2) Hata mimi ukiniuliza bei ya TV yangu na, suti ya harusi na jiko la kupikia sijui. Kwa vile nilipewa zawadi na shemeji yangu wa Afrika kusini. Na kutokana na tamaduni zao, zawadi kamwe husemi bei wakiamini kuwa zawadi hutolewa toka moyoni na si kutokana thamani ya kitu.

Hivyo kwangu kutojua bei ya TV wala sio ishu.
Ikiwa hivyo vitu alipewa sawa nakubaliana na ww, lkn kama alivinunua mwenyew afu leo ashindwe kujua thaman yake basi hili litakuwa ni tukio la kutengeneza.
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Hivi Pole pole hana mke? au alienda Manyara na mke wake?? Kama hana mke basi kwa tafsiri ya kiswahili Polepole bado ni mhuni !
 
Karma is a bitch .

Wakati kina Nape wanashikiwa bastola alikuwa anachekea, kina Lissu wanapigwa risasi anaona poa.

Ni funzo kubwa, alisema kwa kejeli Lissu anakaa na bwana zake kakimbia nchi, Mbowe alivunjwa mguu akasema alikuwa amelewa faru John akaanguka. Hata kama ni serious kweli sisi tunasema umelewa Double Kick ukavuruga sebule ili useme umevamiwa.
Afadhali umeandika. Nilihisi jambo kama hilo mtu mwenye akili zake eti akupekue aibe tv?????
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
kweli wabaya hulipwa hapahapa malipo yameanza pole pole utaelewa tu,aliyofanyiwa lisu nani atamlipia bwana kiroboto,ewe kiroboto unakumbuka mlichomfanyia mbowe nani nayeye atamlipia
 
Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa

View attachment 2041847

=====

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE,

Watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwa mbunge Humphrey Polepole (Dodoma) wakati akiwa safarini, na hii ndio hali ya nyumbani kwake palivyo kwa sasa kama video inavyoonesha

Mbunge Polepole amethibitisha kuwa nyumbani kwake jijini Dodoma, pamevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa Television pamoja na kuharibiwa vitu mbalimbali siku ya Desemba 12, 2021 akiwa safarini Manyara ambapo amerejea usiku huu na kukuta hali hiyo

"Hali nilivyoikuta nyumbani kwangu Dodoma muda huu, Nakwenda kuripoti Polisi. Yeyote aliyefanya haya Mungu atanilipia" amesema Humphrey Polepole.

View attachment 2042259
Maisha yapo kasi sana
 
Madaraka ni kitu cha kupita , huyu alikua miongoni mwa watu walioogopeka ila miezi michache tu baada ya aliyempa kiburi na kumjazia walinzi kuondoka kuondoka akabaki kama kinda la ndege.

Nyie machawa wa sasa mpite hapa mjifunze.
 
Madaraka ni kitu cha kupita , huyu alikua miongoni mwa watu walioogopeka ila miezi michache tu baada ya aliyempa kiburi na kumjazia walinzi kuondoka kuondoka akabaki kama kinda la ndege.

Nyie machawa wa sasa mpite hapa mjifunze.
🤣😂🤣😂😂🤣😂😂😂Kidogo Apasuliwe Speaker
 
Back
Top Bottom