Dodoma: Waziri Mkuu aagiza Mwanajeshi, maarufu kama HK akamatwe kwa udhalilishaji

Ad hominem attack, umekosa hoja, unamshambulia mtoa hoja.

Nishaandika kujibu swali lako kabla hujaliuliza, soma post #21

Tatizo, unajua kusoma kwa ufahamu?
wewe kafiri kweli sasa hebu nikuambie matukio kama hayo yapo mengi sana na ni vizuri yakitatuliwa kwa njia hiyo ili nawengine nao wasikie
 
Yanayotokea mitaani ni taswira ya yanayofanywa na Serikali. Anza na serikali yako.
 
Jamaa hana Makosa ni ujanja tu amechezewaView attachment 2602006
Naam ni ndipo uzuri wa kufanyia kazi taarifa za pande zote ulivyo na sio kuegemea upande mmoja na mihemko ya kisiasa matokeo yake kuumiza upande mmoja
Ona Sasa HK Kakaa ndani bila sababu na sijui huyo jamaa atachukuliwa hatua gani kwa kumdanganya waziri mkuu na kuumiza na kuchafua taswira ya HK
 
wewe kafiri kweli sasa hebu nikuambie matukio kama hayo yapo mengi sana na ni vizuri yakitatuliwa kwa njia hiyo ili nawengine nao wasikie
Matukio kama hayo kuwa mengi yatatatuliwa vipi na Waziri Mkuu mmoja?

Unaizidishia nguvu hoja yangu kwamba mifumo ya ku deal na matukio haya imeanguka, ndiyo maana watu wanaona bora wampelekee matatizo yao ya kuibiana na kupigana mtaani Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu atasuluhisha mpaka migogoro ya kifamilia kwa mtaji huu.
 
Hata kama nikiwa Mwalimu ila hatuwezi kuzifanya tuhuma kama ndio ushahidi usio na mashaka.

Ni tuhuma tu unless kuwe na ushahidi ulio wazi
Uko sahihi Kamanda.
 
Mheshimiwa, Je HK kakutwa na hilo kosa?
Aibu tutaweka wapi na matamko?
 
Ok rpc kaona mjeda hana kosa, mkosaji ni huyu dogo. Sura mtaziweka wapi?
 
Mkuu unashusha nondo sana ndio maana Kila siku lazima nisome comments zako.


Upo neutral na open mind

Big up!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…