Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Hizo ndinga ni za Ikulu ccm wamepaka rangi eee.
 
Nimeona ndege za kijeshi zimewasili asubuhi na mapema[emoji2]
 
Hakuna muda wa kujibu maswali ya kipuuzi, tuko busy muda una taradadi!
 
Hao watu wakuonea huruma. Kila wakifungua kinywa kujisafisha ndio wana haribu zaidi!
 
Nimesema Membe alishauriwa na NEC sijui hujaelewa nini? Tatizo letu Watanzania hasa wapenzi wa vyama wanapenda kutetea hata matatizo. Hilo wanalo ccm na wapinzani pia ndiyo maana wanasiasa wetu hawawezi kuwajibishwa sababu tupo nyuma yao hata kwa mambo ya kipuuzi. Hapa nilikua nalalamika Magufuli kuwanyima wapinzani haki ya kikatiba kufanya mikutano watu wa ccm waliniita nyumbu. Hata nilipolalamika kwanini Mbowe bado ni mwenyekiti wakati chama chake kimeshindwa chaguzi 4 ama tano chini ya uongozi wake niliitwa book saba. Watu wanataka utoe maoni wanayoyapenda wenyewe kuyasikia halafu tunataka demokrasia wakati sisi wrnyewe tunanyimana hiyo demokrasia unadhani wanasiasa watatusikiliza?
 
Acha uongo, watu wametoka sehemu mbali mbali wakalala kwenye mahoteli afu unasema wakazi wa Dodoma?
 
Basi kaa na kura yako nyumbani kwako, sisi tunataka taifa linaloongozwa kwa sheria na katiba na Lissu ndio tumaini la kutupeleka huko.
Niliotoa ni ushauri sio sheria, anaweza kuuchukua au kuuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…