Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Lissu kuwa Ikulu ndiyo heri ninayo itaka,kwa hiyo dalili zote zote hasa za kitoto zinazoashiria kukwamisha heri hiyo ndizo ninazozichukua.
Endelea na uparoko sisi utatuka mbele ya safari,hata biblia ilisema ukipigwa la kushoto geuza la kulia,ila wakakuachia mwenyewe ujiongeze baada ya kupigwa la kuliq uchukue hatua gani
 
Inawezekana kabisa Rais ajaye wa JMT amechukua fomu leo trh 08/08/2020.

Nilipomwona wakati anaingia ndani ya jengo la Tume ya uchaguzi nikawaza kwa madhira aliyokutana nayo kwa akili za kibinadamu asingekua anapanda zile ngazi, inawezekana kabisa angekua kimya futi6 ndani ya ardhi lkn Mungu alikuwa na mpango mwingine kabisa.

Kama ambavyo wako waliodhani hataiona siku hii basi binafsi naamini lolote linawezekana october 28.
 
Uko sahihi mkuu.
 
Kama kusoma ndiyo huku basi bora kutoenda shule...Yaani karne hii unaongelea basic hizi tatu....daaah
 

Nadhani hoja yangu iko wazi, kama NEC walimshauri Membe, kwanini wasiishauri cdm hivyo hivyo? Maelezo yako ni mazuri na marefu, ila hayakuwa na ulazima wowote. Ndio maana tunahitaji tume huru vya uchaguzi, sio hii iliyojigeuza taasisi ya kisiasa dhidi ya baadhi ya vyama.
 
Huwa hawajielewi wanataka nini
 
Toa sababu, au ndio sera za kumuachia Mungu.

Kama yule binti wa kimarekani asingerusha clip ya George Floyd, wale polisi leo wangekuwa wanakula bata tu.
Hatutegemei kura za huruma bali tunataka mtuchague kwa sera zetu
 
Molemo hata picha wala video?? Duuh mnatuangusha mazee.kwani mmezuiliwa??
Chadema swala.la Tehama mko nyuma sana sijui kwanini. Nyie ndio mnataka tuwape nchi?? You are so slugish. Shame on you!
 
Hao wapiga zumari tu wala sio watendaji, watu wapo ila nikichokiona wengi sio wa mitandao yaani wa kupost post tu.
Molemo hata picha wala video?? Duuh mnatuangusha mazee.kwani mmezuiliwa??
Chadema swala.la Tehama mko nyuma sana sijui kwanini. Nyie ndio mnataka tuwape nchi?? You are so slugish. Shame on you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…