Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Uchaguzi 2020 Dodoma yazizima kwa Maandalizi ya Lissu kuchukua fomu 8.8.2020

Mkuu umasikini wako haujaletwa na CCM Bali ni uzembe wako wa kufanya kazi,ulitaka ccm ije ikuamshe asubuhi uende shambani
Unaizungumzia CCM hii ambayo imeshindwa hata kuleta basic needs kama maji na umeme.

Miji yote haijapangwa, michafu na kila eneo ni la biashara tena yoyote. Hìi CCM ifutwe tuanze kujenga taifa la kisasa
 
Haya fanyeni hayo mapokezi yenu sijui kumsindikiza Lissu mnayo andaa uzuri watanzania tumeshaambiwa airuhusiwi kwa sasa na tumeona wote wametii hilo sharti

Nyie mna ideas tofauti mmeamua kucheza kamali na NEC hope all goes well, hila likitokea lolote mamlaka zipo on the record mnachotaka kufanya akiruhusiwi.
Tunae mshauri wa chama wa mambo yahusuyo sheria na taratibu, usihofu.
 
Nauliza tu. Kesho si nisikuku ya NANE NANE OFISI ZITAKUWEPO WAZI ???
 
Unaizungumzia CCM hii ambayo imeshindwa hata kuleta basic needs kama maji na umeme.

Miji yote haijapangwa, michafu na kila eneo ni la biashara tena yoyote. Hìi CCM ifutwe tuanze kujenga taifa la kisasa
Mkuu Unaona sasa ninyi wafuasi wa CHADEMA tunaposema elimu yenu ni ndoto hamuelewi,haujui tofauti ya basic needs na social services

Ngoja nikupeni ilimu shekhe,basic needs ni tatu tu chakula,malazi na mavazi, wakati social services ni kama umeme ,maji elimu,huduma za afya nk

Jioange unapojibu hoja humu maana unaonekana kituko
 
WanaJF

Dodoma Inazizima.Ndivyo tunavyoweza kusema kwa Sasa.

Mapokezi kabambe yanamsubiri mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Antipass Lissu ambaye atachukua rasmi fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kesho siku ya Nane Nane.

Inatarajiwa mgombea huyo kusindikizwa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Dodoma katika kile kinachoonyesha Imani kubwa waliyo nayo kwa kiongozi huyo.

Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu ametoa wito rasmi kwa wakazi wa jiji la Dodoma na mikoa jirani kumsindikiza mgombea huyo Safari itakayoanzia makao makuu ya Chadema Kanda ya Kati Area C Mtaa wa Makongoro.

Katika mahojiano na wakaazi kadhaa wa jiji Hilo wameonyesha shauku kubwa ya kutaka kumuona Tundu Lissu ikiwa ni miaka mitatu alipoondolewa katika jiji Hilo akiwa nusu mfu baada ya kupigwa risasi kumi na sita na watu wasiojulikana na Sasa anarejea jiji Hilo Hilo akiwa mzima wa afya na akitembea kwa miguu yake miwili huku wabaya wake waliotaka kumuua wakifichama kusikojulikana.

Hapo Jana wanafunzi wa vyuo vikuu vya UDOM, CBE na Mipango walikuwa katika vikao vya namna ya kumsindikiza Lissu ambaye walimwita shujaa wao.

Tundu Lissu amejizolea uungwaji mkono na umaarufu mkubwa kutokana na sera yake ya kuwapa watu Uhuru wa kusema na kutoa maoni yao bila kuingiliwa na vyombo vya Dola endapo atachaguliwa kuwa Rais.Na pia kuruhusu vyama vya siasa. NGO's na vyombo vya Habari kufanya kazi zake kwa Uhuru Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga manjiani kumsalimia na kumsindikiza.

#NiYeye2020
Huyu anayelamba miguu ya Wazungu wazi wazi namna hii ndio awe Rais wa Tanzania loo,hata haya hana.Aibu kabisa.
 

Attachments

  • VID-20200807-WA0002.mp4
    12.7 MB
WanaJF

Dodoma Inazizima.Ndivyo tunavyoweza kusema kwa Sasa.

Mapokezi kabambe yanamsubiri mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Antipass Lissu ambaye atachukua rasmi fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kesho siku ya Nane Nane.

Inatarajiwa mgombea huyo kusindikizwa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Dodoma katika kile kinachoonyesha Imani kubwa waliyo nayo kwa kiongozi huyo.

Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu ametoa wito rasmi kwa wakazi wa jiji la Dodoma na mikoa jirani kumsindikiza mgombea huyo Safari itakayoanzia makao makuu ya Chadema Kanda ya Kati Area C Mtaa wa Makongoro.

Katika mahojiano na wakaazi kadhaa wa jiji Hilo wameonyesha shauku kubwa ya kutaka kumuona Tundu Lissu ikiwa ni miaka mitatu alipoondolewa katika jiji Hilo akiwa nusu mfu baada ya kupigwa risasi kumi na sita na watu wasiojulikana na Sasa anarejea jiji Hilo Hilo akiwa mzima wa afya na akitembea kwa miguu yake miwili huku wabaya wake waliotaka kumuua wakifichama kusikojulikana.

Hapo Jana wanafunzi wa vyuo vikuu vya UDOM, CBE na Mipango walikuwa katika vikao vya namna ya kumsindikiza Lissu ambaye walimwita shujaa wao.

Tundu Lissu amejizolea uungwaji mkono na umaarufu mkubwa kutokana na sera yake ya kuwapa watu Uhuru wa kusema na kutoa maoni yao bila kuingiliwa na vyombo vya Dola endapo atachaguliwa kuwa Rais.Na pia kuruhusu vyama vya siasa. NGO's na vyombo vya Habari kufanya kazi zake kwa Uhuru Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga manjiani kumsalimia na kumsindikiza.

#NiYeye2020
Hakika hakika ni ukweli mtupu.
Mipango zamani walikua wanapiga mikwara uwepo wa wanachama wa CHADEMA lkn siku hz wameachia ma-lecturer wenyewe ni CHADEMA full ila kiunafiki kwa boss wao wanakuwa na vikadi cha kijan pembeni.
 
Kwa kuongezea suala la yy kushambuliwa isiwe ajenda kabisa tena ikibidi asiliongelee Hilo suala kbs
Toa sababu, au ndio sera za kumuachia Mungu.

Kama yule binti wa kimarekani asingerusha clip ya George Floyd, wale polisi leo wangekuwa wanakula bata tu.
 
Sahihi kabisa. Afungwe speed governer.

Apunguze kuashiria kulipiza kisasi, apunguze mihemko, arekebishe matamshi hasa anapomtaja Raisi pia asionyeshe kuwa ana watu nyuma yake hawa Mabeberu. Kwani akumbuke tayari ana kashifa ya ukibaraka hivyo ajitahidi kuiondoa hiyo tuhuma siyo kuonyesha kama ni tuhuma ya kweli. Kwa ujumla aonyeshe ustaarab ambao ndiyo asili yetu Watanzania.
Sisi sio wastaarabu, sisi tuna ukondoo uliopitiliza. Mtu anatundikwa risasi kama nyati kila mtu yupo kimya nyumbani kwake.

Wastaarabu wapo US, unaua raia wanastand up na kusema "This has to stop!"
 
Huo ni ushauri mzito sana.
Inabidi cdm muwe na kamati maalum ya ushauri kwa TL.
Ieleweke anajiandaa kuingia kwenye taasisi kubwa hivyo ni lazima aelewe anachozungumza sio azungumze kila anachokielewa.

Je unaridhika na kauli za Rais anayemaliza muda wake?
 
WanaJF

Dodoma Inazizima.Ndivyo tunavyoweza kusema kwa Sasa.

Mapokezi kabambe yanamsubiri mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Antipass Lissu ambaye atachukua rasmi fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kesho siku ya Nane Nane.

Inatarajiwa mgombea huyo kusindikizwa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Dodoma katika kile kinachoonyesha Imani kubwa waliyo nayo kwa kiongozi huyo.

Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu ametoa wito rasmi kwa wakazi wa jiji la Dodoma na mikoa jirani kumsindikiza mgombea huyo Safari itakayoanzia makao makuu ya Chadema Kanda ya Kati Area C Mtaa wa Makongoro.

Katika mahojiano na wakaazi kadhaa wa jiji Hilo wameonyesha shauku kubwa ya kutaka kumuona Tundu Lissu ikiwa ni miaka mitatu alipoondolewa katika jiji Hilo akiwa nusu mfu baada ya kupigwa risasi kumi na sita na watu wasiojulikana na Sasa anarejea jiji Hilo Hilo akiwa mzima wa afya na akitembea kwa miguu yake miwili huku wabaya wake waliotaka kumuua wakifichama kusikojulikana.

Hapo Jana wanafunzi wa vyuo vikuu vya UDOM, CBE na Mipango walikuwa katika vikao vya namna ya kumsindikiza Lissu ambaye walimwita shujaa wao.

Tundu Lissu amejizolea uungwaji mkono na umaarufu mkubwa kutokana na sera yake ya kuwapa watu Uhuru wa kusema na kutoa maoni yao bila kuingiliwa na vyombo vya Dola endapo atachaguliwa kuwa Rais.Na pia kuruhusu vyama vya siasa. NGO's na vyombo vya Habari kufanya kazi zake kwa Uhuru Kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Chadema leo inatarajiwa kutoa ratiba njia atakazopita mtetezi huyo wa wanyonge na Msemaji wa wasio na sauti ili walau watu kujipanga manjiani kumsalimia na kumsindikiza.

#NiYeye2020
Mmekosa hata picha?
 
Haha,

Mtu anapost toka chini ya uvungu mwa kitanda , anasema eti mji umezizima, hamna hata picha moja.

Endeleeni kusafiri kujazia uongo mnaopost hapa.
 
Ina uhusiano gani na kumsindikiza shujaa wao? Watu wanajua kuchukua tahadhari

Kwa hiyo corona ipo ila kwa washabiki wa lisu wao ndo wana akiri sana ya kuikwepa bila kuchukua tahadhali?
Mbona hawavai barakoa wala distance?
Ila yeue lisu anawambia mabeberu corona aipo kwa wingi TZ.
Ujinga huo mbki nao ninyi ila lazima tumfundishe adabu kwenye kura.
 
Back
Top Bottom