Does Africa have its own (unique) definition of democracy?

There is no Democracy as Democracy.
It's either a System or A Value.
Even the Greeks knew this.
The Greeks knew Democracy as 'Demokratia' which was the first known Democracy in the world.

What is Democracy?
 
Siwezi kufanya hivyo maana najua ninachochangia.

Nitakachoweza ni kutoa maoni tu. Sio kuhitimisha mjadala.


Hakuna mjadala kwenye uzi...naona wachangiaji wakibishana tu.
Uliposema kuhusu suala lenye mjadala mpana hapo awali ulikuwa na maana gani?

Hilo suala ni lipi?
 
"Demokratia" was not the first known Democracy in the world.
Neither was the concept of democracy promulgated by the Greeks.
What was the first known Democracy in the world? What is Democracy?

You said earlier: "Even the Greeks knew this."
How are the Greeks related to what you said earlier?
 
Yes, even the Greeks knew democracy to be both a System and A Value.
Now back to your question: What was the first known Democracy in the World ???
I ask you this simple questions: What were the first known civilizations in the world ???
What I said is that the Greeks knew Democracy as 'Demokratia' which was the first known Democracy in the world.

How are the Greeks related to what you said earlier? What is Democracy? The questions still stand!

As a matter of fact, how are the Greeks even related to our discussion as a whole?
 
Nilimsikia bwana fulani akisema demokrasia tuliyonayo inatutosha, sasa nikajiuliza hivi demokrasia inapimwa kwenye kibaba kama mafuta ya taa...
 
The etymology of the word Democracy is Greek word "Demokratia"
And again I say this my friend: "Demokratia" is not the first known Democracy in the world.
And I say this: The Greeks knew Democracy as 'Demokratia' which was the first known Democracy in the world.

You disagree?

Well,
What was the first known Democracy in the world? What is Democracy?

How are the Greeks related to what you said earlier and how are they even related to our discussion as a whole?
 
And I say this: The Greeks knew Democracy as 'Demokratia' which was the first known Democracy in the world.

You disagree?

Well,
What was the first known Democracy in the world? What is Democracy?
safi sana mkuu. I didn't know this before@
 
Kingreza kimeenda shule baba la baba
 
Kijerumani ni tatizo, ukiacha Ujerumani na majirani zake kuna sehemu kinazungumzwa?
Binafsi nilikuwa natamani sana kujifunza kiispaniola
Sijutii kujifunza kijerumani. German is the European Power House after U.K
 
Juzi nilikuwa namsikiliza mhe. Hamad mwenyekiti wa ADC akawa anasema Marekani pamoja na demokrasia yao hawaruhusu mtu kuanzisha chama cha kikomunisti, vile vile china nao hawaruhusu kuanzisha chama cha kibepari.
Mathalani Tanzania tuna vyama vya siasa 20+ wakati Marekani wao wanavyo vichache.
Kuja na single definition ya demokrasia ni ngumu kulingana na mazingira husika, pengine labda ifanyike 'rating score' yenye vipengele tofauti tofauti ili kupata walau namna fulani ya kuipima hiyo demokrasia.
 
Nikushihishe lugha. Does Africa have...
 
duuuh umefafanua kwa marefu sana ndugu. asante sana kwa kunifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…