Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #141
Mkuu, akikujibu ninaomba uni-tag pleaseSasa kwanini kinachofanyika huku Afrika na polisi sio “personal act” na badala yake inaonekana ni “system act”?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, akikujibu ninaomba uni-tag pleaseSasa kwanini kinachofanyika huku Afrika na polisi sio “personal act” na badala yake inaonekana ni “system act”?
Swali zuri sana mkuuWazungu unaowatolea mfano ni wapi hao? Tuanzie hapo...
Mbona zilimuua Eric Garner wa Marekani? (I can't breathe)
Mkuu, akikujibu ninaomba uni-tag please
Mkuu,Polisi brutality ni personal act na sio system act
Wapo baadhi ya askari Polisi wanajichukulia sheria mkononi pasipo kufuata taratibu za kazi zaoMkuu,
Hii inaonesha hufuatilii police brutality ya US. Ile ni system based.
Ingekuwa personal acts, kungekuwa na mashtaka pengine na hukumu za hao personnel, for their individual actions R.I.P. Akwilina.Sasa kwanini kinachofanyika huku Afrika na polisi sio “personal act” na badala yake inaonekana ni “system act”?
Yesu alimuuliza mtu mmoja " Na wewe mwalimu wa sheria na huyajui haya".Wapo baadhi ya askari Polisi wanajichukulia sheria mkononi pasipo kufuata taratibu za kazi zao
Ingekuwa personal acts, kungekuwa na mashtaka pengine na hukumu za hao personnel, for their individual actions R.I.P. Akwilina.
Tukubali tukatae, ni tatizo la mfumo wa maagizo na maelekezo toka juu. Ndiyo hakuna mtawala aweza wajibisha polisi, against brutality in Africa!
Everyday is Saturday............................... 😎
Kesi moja, katika kila matukio zaidi ya 100,000! Napo naamini Zombe kuna kitu aliwakosea mabosi wake, atakuwa aliwanyima mgao. Ndiyo maana wakamkaanga!Nikukumbushe, Kamanda Zombe kesi yake imekamilika juzijuzi tu na waliohusika na mauaji yale mmoja/wawili wao wamekula first degree murder case, wengine miaka ya kutosha. Mifano iko mingi lakini kwa kuwa mdharau kwao huwa mtumwa basi everyday becomes Saturday........... Not cool:
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Does Africa has its own (unique) definition of democracy?
Je, Afrika ina tafsiri yake binafsi (ya kipekee) ya neno demokrasia?
View attachment 1516346
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba, nimepokea ujumbe huu kutokwa kwa mtoto wa ndugu yangu analiyezaliwa na kuishi huko huko Ulaya (Uholanzi) na hajawaji kukanyaga huku Tanzania (Africa). Huyu dogo ana miaka 15, kama angekuwa huku Tanzania let's say labda angekuwa form II?
Just imagine wewe ndio Infantry Soldier, ungewezaje kumjibu huyu mtoto wa ndugu yako?
PUMZIKA KWA AMANI MZEE MKAPA. VITA UMEIPIGANA NA MWENDO UMEUMALIZA BABA YETU. MUNGU AKUPE PEPO ILIYO NJEMA MZALENDO MWENZANGU.
View attachment 1516337
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ukweli mchungu, police brutality ni suala la kimfumo, psychologically wananchi wameathirika wanaelewa hakuna wa kuwasaidia. Mfumo upo kuwasaidia wana usalama!' Za kubrashia'!
Everyday is Saturday............................... 😎
Definition tofauti ya demokrasia anayo Magufuli na CCM. Kwao demokrasia maana yake wizi na kutumia vyombo vya dola kuulinda huo wizi.
Police brutality siyo individual acts ni system acts, usinibadilishie maana.So umebadili mwenyewe tena kuwa police brutality ni suala la mfumo??
Dah, kweli mkataa kwao mtumwa
Veryday becomes Saturday........ Not cool;
Police brutality siyo individual acts ni system acts, usinibadilishie maana.
Nieleweke hivyo, system acts ndiyo zinazopelekea hayo matukio yanayoonekana kama individual acts.
Everyday is Saturday............................... 😎
Police brutality siyo individual acts ni system acts, usinibadilishie maana.
Nieleweke hivyo, system acts ndiyo zinazopelekea hayo matukio yanayoonekana kama individual acts.
Everyday is Saturday............................... 😎
SeenOk ok sio wewe kumbe uliyesema ni “individual acts...” lakini ulivouchangia mjadala ilikuwa as if unamuunga mkono Bana likasi, kuwa police brutality ni individual act
Ni sytem acts kwa dunia nzima au Marekani pekee?Police brutality siyo individual acts ni system acts, usinibadilishie maana.
Nieleweke hivyo, system acts ndiyo zinazopelekea hayo matukio yanayoonekana kama individual acts.
Everyday is Saturday............................... 😎
MhhhPathetic disparaging comment!!
OkSo umebadili mwenyewe tena kuwa police brutality ni suala la mfumo??
Dah, kweli mkataa kwao mtumwa
Veryday becomes Saturday........ Not cool;