Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Mimi ndio maana huwa sitaki mchezo na mwanamke! mke wangu naishi nae mkono wa chuma since day one nimemuoa bado bibi harusi kabisa na hina kibao nikamwambia sitaki utani hata na shemeji zako yaani nduguzangu.

Mimi namjali na kumheshim sana na nijitahidi sana kutimiza majukum yangu! hata kwenye mjegejo sinaga mchezo wala mazoea ya ndoa napiga mashine kama vile ni malaya nimempata leo.

Mimi huwa sina mambo ya kuchepuka hata kidogo kwahiyo nilishamwambia siitaji mazoea na mwanaume yoyote asiekuwa nduguyangu au wa kwake! nilimwambia usiniletee mzaha na ujinga kwenye ndoa nitakufukuza mara moja na nitaenda kuweka kikao kwenu.

Nitamwambia baba yako na mama yako kuwa huyu ni mshenzi kama ni kutiwa namtia hadi anazima kwahiyo huu ni mizigo wako nakuachia mzee.
Ulimkuta bikra?if no basi jua unatombewa tu
 
Mimi ndio maana huwa sitaki mchezo na mwanamke! mke wangu naishi nae mkono wa chuma since day one nimemuoa bado bibi harusi kabisa na hina kibao nikamwambia sitaki utani hata na shemeji zako yaani nduguzangu.

Mimi namjali na kumheshim sana na nijitahidi sana kutimiza majukum yangu! hata kwenye mjegejo sinaga mchezo wala mazoea ya ndoa napiga mashine kama vile ni malaya nimempata leo.

Mimi huwa sina mambo ya kuchepuka hata kidogo kwahiyo nilishamwambia siitaji mazoea na mwanaume yoyote asiekuwa nduguyangu au wa kwake! nilimwambia usiniletee mzaha na ujinga kwenye ndoa nitakufukuza mara moja na nitaenda kuweka kikao kwenu.

Nitamwambia baba yako na mama yako kuwa huyu ni mshenzi kama ni kutiwa namtia hadi anazima kwahiyo huu ni mizigo wako nakuachia mzee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo dogo wa form tatu anakushinda mwanangu

Mimi nilipiga dogo wa baba mwenye nyumba Kalikuwa na pigo mwenye akajaa Juu nikamwambia mwanao Yupo polisi nawewe ukilete zengwe UNAENDA polisi full stop
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
wote mpo mtoni kwahiyo kilichompata mamba na boko kitakukuta... Ni suala la muda tu.!
 
Funga Camera kimia kimia ndani unganisha na simu. Dogo akitimba ndani popote ulipo unapiga simu kuonya.
Kuondokana na adha hiyo hama eneo hilo kunusuru ndoa yako. Pole sana mkuu
Ushauri mzuri huu japo wanaweza kuendelea kuwasiliana.Lkn pia jamaa angemuita dogo amchimbe mkwara mzito.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Wakuu mulibwanji?

Aisee hapa nlipohamia sasa nina miezi 8 nilikuta kuna mpangaji 1 na mwenye nyumba mimi nikawa mpangaji wa pili, huyu ndugu niliyemkuta alikuwa anaishi na mkewe na hawana mtoto wala mtu mwngne wanayeishi naye.

Habari niliyoikuta hapa ni kwamba mtoto wa kiume wa mwenye nyumba anatembea na mke wa huyu tuliyemkuta hapa na dogo mwenyewe yupo kidato cha 3 tu.

Jamaa anatoka asubuhi anarudi usiku kumbe huku nyuma mkewe kula kulala anatomb.Wa na uyo dogo tena kwenye ktanda cha mshkaji na mkewe.

Na mwanamke alishakolea kbs bt walishaachana sasa naona dogo amekuwa na mazoea makubwa na mwanamke wangu juzi nilirud ghafla nyumban namkuta dogo amejiachia sebuleni kwangu kama kwake vile kwanza kaingia amevaa viatu kaweka miguu juu ya sofa na viatu.

Mwanamke wangu alikuwemo naye amekaa anachambua mchele wanakula story tu nlichukia sana nikamueleza lakini alinijbu majbu yasiyoridhisha kbs mpaka ukawa ugomvi kabisa.

Wakuu mnanishauri nini?
Usingefumbia macho siku ileile uliyomkuta kwako ungemchana live mbele ya mkeo tena ukiwa serious kabisa
 
Funga Camera kimia kimia ndani unganisha na simu. Dogo akitimba ndani popote ulipo unapiga simu kuonya.
Kuondokana na adha hiyo hama eneo hilo kunusuru ndoa yako. Pole sana mkuu
Mkuu hiyo kamera inapatikana wapi ,

Na yeye hata iona ?, naihitaji sana hiyo,
Nielekeze pa kuipata
 
Ukiona manyoya ?

Mkeo kajiuliza inakuwaje dogo anamlamba mke wa mtu?ana maajabu gani?kataka kuthibitisha mwenyewe ndo maana anakujibu ovyo...
Kwa ufupi huyo dogo anawalamba wote mkeo na mke wa jirani...
Wanawake zenu wanajua Siri ya huyo dogo ndo maana hawajali tena...
Pole Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkeo hajafundwa, chumba na sebule unakaribishaje mgeni wa kiume ndani hali mumeo hayupo?

Yani Baba K wangu angerusha mitama na notisi tungepewa....chumba na sebule wageni wa kiume unawatolea kiti nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leejay49 baby nikikuta una mazoea na madogo wa hivi patakua hampatoshi

Chocolate yako hii hapa
2023411_orig-2988871320.jpg
 
Mkuu ukitaka dogo akome Ina bidi nawewe uanze mazoea nae

Kwamfano una weza kumshika tako afu ukasema dogo naona ukovizuri eehh huku ukimkonyeza kwamacho

Afu unamwambia nasubiri tu uje unase mtego wangu aiseeh utani kubari Kisha pita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mtu anaeomba ushauri kwenye mambo sensitive hivi ni lazima aendelee kutom bewa,
huyo dogo ngeu, ngumi kali sana ya pua nampiga ngumi puani maumivu hadi miguuni ha ha,
hata kwenye hali ya kawaida mafahali wawili hamuwezi mkachekeana mbele ya mwali yani ningemkarakasha tu ningembonya tu mbele ya wife,
ulisikia wapi punda dume wawili na jike mmoja kwenye zizi moja hapo lazima zichapwe kujihakikishia burudani
utapigwa bila kupenda ndani ya zizi utatolewa ngeu ili tu watu wapate burudani kwa utulivu wewe ukiwa unachechemea over.
 
Back
Top Bottom