Dogo amenikera mpaka nahisi kumchukia mazima

Dogo amenikera mpaka nahisi kumchukia mazima

Jiongeze,ukoo umemtuma kijanja atumie kauli kaka yake ana familia inamtegemea ili na wewe upate motisha uoe.
 
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.

Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.

Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.

Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.

Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Tafuta kishangingi cha af tatu piga mkuu.

Konyagi ni tulizo la moyo
 
Tafuta kausha damu wako mmoja then ujaribu kama atakusunbua. Au kakope hizi taasisi kausha damu uwe busy unafanya marejesho hatokusumbua.. Inaonekana hela yako haina pakwenda
 
Huyo ndugu yako mwenyew ni KAUSHA DAMU. Takers will never say it's enough
 
Mbona hoja yake ya msingi
Kaka J ana mambo mengi ya kifamilia
Na labda amekwambia wazi sababu ya kushindwa kumuomba kaka yake kwasababu umesema mmezoeana sana

Shida ni wewe ulivyoipokea
This is not right, hata huyu jamaa hana familia ila anamsaidia kwa sababu ya upendo na anamajukumu pia, huyu binti kakosea
 
Nachukia ndugu wanaoamini usipokua na mke au watoto basi hauna majukumu. Aisee tuna majukumu mazito ya kukamilisha ndoto zetu kwa ajili ya familia zetu zijazo. Huyo dogo mpunguze na usimzingatie mpaka akili imkae sawa!!!
 
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.

Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.

Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.

Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.

Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
sasa kaka huyo mdada s umesema kaolewa na manake anae wa kumtatulia shda zake kwa hali na mali.
sasa kwann akusmbue wewe ilhal tayar yupo kwenye pingu.za maisha na mtu wake aisee. Huyo dada ajifkilie anachofany mana kama umeoa au umeolewa mumeo ndo atakaezngatia kila.kitu na sio familia au.ndugu tena
kwaio hapo mwenwtu unaonewa alafu na wewe vaaa uwanaume mpasulie ukwel hapo hapo mana hat asieoa ana mipango yake
 
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.

Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.

Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.

Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.

Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Punguza ku overthink mambo mkuu , siku ukiwa na familia ataacha kukuomba 😄😄😄
 
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.

Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.

Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.

Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.

Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Huna koromeo mambo yako familia unayamwaga hadharani ukioa si utatoa siri za mkeo kuwa ana tako moja dogo moja kubwa wacheni upuuzi!
 
Nilichogundua hawa ndugu ni jau.
Kwa minajiri hiyo hapo ungemjibu mume wako ndiye anapaswa kutatua shida zako kama vile kaka J anavyotatua shida za mke wake
 
Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.

Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.

Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.

Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.

Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Hujakua kiakili wewe, kulikuwa na haja gani ya kuandika huo utoto hapa? Ficha ujinga wako
 
Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.
Ukioa unapata heshima kubwa, Saa hizi wanawaza pesa unazopata unavutia pombe na kunywea bangi. Anyway undugu ni nyama ya tako
 
Back
Top Bottom