Ni mpuuzi huyo yani majukumu ya mumewe anamtwisha kaka yakeMdau huenda saa zingine hua amekwama
Sikushangai, ndipo upeo wako ulipoishia.Kumbe we huna akili, kwani asie na familia hana mipango? Upendo upi huo? Mtu mzima hovyo
bro hii nikawaida sana sema wewe una akili ndogo sana na unaroho mbaya sana maana ulichoambiwa hicho ni kawaida sana na kama kweli umemuchukia kwa hicho ukija oa utakuja gombna na ndugu zako wote maana wanawake kama mme anakili kam zako hizo atakugombanisha nawandugui woteIpo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.
Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.
Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.
Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.
Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Unatafuta sababu tu za kumkataa, huna haja ya kuanzia mbali au kuzunguka sana, we mkatae tu yaishe.Ipo hivi, kuna mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaolewa Arusha, sasa akikwama mambo ya hapa na pale huwa namsaidia maana tumezoeana sana kwahiyo haonagi shida kunishirikisha akikwama.
Sasa kilichonikera ni kwamba alinipigia simu akaomba nimsave kiasi fulani hivi, nikamwambia kwasasa nipo mbaya sina kitu.
Nikamuuliza kwani hujamuomba kaka j akusaidie? Maana huyu ndo kaka yake wa damu, aisee alichojibu sasa, akasema kwamba si unajua tena kaka j anafamilia yake anaihudumia, mtoto mke wake. kwahiyo siwezi kumuomba ntamharibia mipango yake.
Aisee nikawaza kwahiyo Mimi ambaye sina mke ndo fala ni za kuchota tu na bado namuwaza vibaya mno. Halafu mbaya zaidi ananiforce kwamba nitumie mbinu zote nimtumie hiyo hela ana shida ya muhimu sana.
Daaaaah simmalizi kabisa kenge yule
Kufulia hakuhusiani na kudharau changu mkuu, mbona mara nyingi sana nimemsaidia wala sikuwahi kuwaza, iweje aseme za kaka yake zina matumizi? Mimi hata kama sina mke ila hela zina matumizMtu ukiwa umefulia unakua na mahasira ya kijinga tu.
Hicho ndicho nikionacho kwa mleta mada...
Mnarahisisha kwa sababu sio nyie, ila hata wewe ukiambiwa hio kauli lazima umind, hela ngumu mazeeUnatafuta sababu tu za kumkataa, huna haja ya kuanzia mbali au kuzunguka sana, we mkatae tu yaishe.
Hata wewe ukijakuwa na familia hatakuomba msaada pia coz utakuwa na majukumu muhimu, mbona kakujibu poa sana?
Dah pole sana mkuu, aisee inakera mbaya kabisa kwamba mm sina mke kwahiyo sina majukumYani huyo ni kama rafikiyangu ananikeraga sana Yani hata umkopeshe pesa siku ya kumkumbusha akulipe utasikia afadhali wewe hauna watoto hauna madeni sijui nn ananikera nae kenge yule πππ
Wakati mwenzie Huwa najikaza tu napambana anaona km ninazo