Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Dogo janja Ana kwa ana na Dr. Chris Mauki

Hapo ni mapokezi, unakuwa unajisomea kijarida ukiwa katika foleni wakati mwenzio anahudumiwa ofisini. Ni sawa na AMREF walivyokuwa wanatuwekea mikanda ya video ya Rutaaya wakati tuko foleni ya kupima au kusubiri majibu ya HIV
Pole mkuu
 
Hakujifunza kwa wanaume wengine?
Si walisemwa wana vibamia dogo akajiona mjanja!Kumbe hakujua wanawake hawajawahi kuridhika hata iweje!
Hawaridhiki na Mungu mwenyewe ije iwe binadamu!Dawa yao ni kuwa gaidi tu..ili wafanye mambo yao kwa hofu..
 
Mwanamke alieshindikana na wanaume wenzako we unapata ujasili gani wa kuishi nae hatari sana
 
Hakunaga majotroo tunarud chuga kwa manz ya njiro
 
Back
Top Bottom