Dogo Janja awajibu wanaomsema yeye na Irene Uwoya awaambia "Sunna ya Mtume"

Dogo Janja awajibu wanaomsema yeye na Irene Uwoya awaambia "Sunna ya Mtume"

Serikali iko wapi mtoto mdogo namna hii anaoa jimama.istoshe kwa umri alio nao sio wa kuoa couse akili yake haijakomaa kuweza kukabiliana na changamoto za ndoa japokua akili ya kumake pesa anayo.istoshe ujana bado hajautumia vizuri
 
Wazee wa sunna....

Dogo janja - uwoya
Diamond - Zari
Uchebe- Shilole
Mose Iyobo - Aunt Ezekiel
Brown - wolper
Nani sijui - Riyama

List ni ndefu, watoto wadogo wamevumbua mgodi
Hii nadhani haifanyiki kwa bahati Mbaya hayamkini ni Kuutekeleza mashariti ya nguvu zisizoonekana kwa macho ya kibinadamu.
 
heshimu dini za watu acha kumlinganisha Dogo janja na uwoya na hao wazinifu
kwanza dogo ana dhifa kubwa mbele ya ALLAH kitendo tu cha kimbadili dini uwoya ana malipo makubwa sana hapa DUNIANI na AKHERA
kinachotakiwa sasa amuongoze mke wake vema kufikia viwango vua juu vya imani
MWENYEZIMUNGU awafanyie HERI kwa kuicha batili kuifata Haki
mfia dini utajiju, niheshimu kwani nimekashifu dini hapo?
 
Hapana sio kwa tofauti hiyo ya umri, inashangaza sana. !!!!!!!!!!!!
IMG-20171104-WA0018.jpg
 
Je Shehe Kipozeo anasemaje kuhusu hii Sunna?
 
Hatari sana!
Vijana wanaamua kuutumia ujana wao kwa migubegube! Ogopa Bad Influence!
 
HIVI KWELI IRENE NI MCHAGA! HUYU ATAKUWA DADA MCHAGA AMBAYE SIJUI YUPOJE NI KAMA MBUGA YA KITALII.KUNA WACHAGA WAWILI WA AJABU MMOJA NI MURO NA WA PILI NI IRENE.KRISMAS MWAKA HUU WABAKI DAR WATAFUTE BABU ZAO WACHAGA HAWAPO HIVYO HATUWATAKI MOSHI
Umeonaa wasitie kwato zao mo town kabsa tutawatindua Hana adabu kabsa
 
Nafikiri watu hawahoji umri kwa kuzingatia dini wanazingatia utamaduni wetu kama waafrika hauruhusu haya
 
Dogo anajua kununua kiki kuliko Platnumz
 
Hivi dogo janja ni Islamic kweli au ndiyo bongo movie
 
Huyu Mtume anasingiziwa sana.., hakuwahi kuoa Kulubembe kama alilooa Dogo!
 
Mtoto mdogo anaoa lijimama alaf tunasema sawa.
86 ni jimama!!!! Na 70, 60 smtng ni bibi au!!!!
Mi nkiwa 14 nilidate na mdada 1986 na hadi Leo sio jimama, akikuzidi 25+ ndo unaeza talk fala wewe
 
Ni kweli?au wanacheza na akili zenu wabongo?
 
Mtoto mdogo anaoa lijimama alaf tunasema sawa.
Ila kama wangekuwa wanaziniana kusingekuwa na maneno,Umri ni namba tu kikubwa mandhari dini yake inamruhusu ni sawa hakuna tatizo
 
Wazee wa sunna....

Dogo janja - uwoya
Diamond - Zari
Uchebe- Shilole
Mose Iyobo - Aunt Ezekiel
Brown - wolper
Nani sijui - Riyama

List ni ndefu, watoto wadogo wamevumbua mgodi
Mwenye haki hao ni Dogo janja tu,Wengine ni wanaziniana tu hawana ndoa hao
 
Back
Top Bottom