Heshima kitu cha bure. Asiharibu SwaumuAcha upuuzi we fala naomba umuheshimu MTUME MUHAMMAD sawa
DuuhDOGO JANJA Awajibu Wanaomsema Yeye Na IRENE UWOYA Awaambia
"SUNNA YA MTUME"
dronedrakeHa ha ha
Skrepa
wamama wanajua kuleaa...hlf usikute anapokuwa na dogo janja irene anakuwa kama mtoto tu....yaani mwanamke ata awe mkubwa vipi bado akili zitakuwa ni za kushikiwa.
Dogo janja anathibitisha ule msemo unaosema,Mwanaume ni kiongozi wa Mwananke...hii kauli uzuri wake haijasema ni mwanaume wa umri gani ndo kiongozi...so by virtue if being mwanaume you r a leader kwa mwanamke.
Akili ya mwanamme mmoja ni sawa na akili za wanawake wanne.