Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Dogo Janja amedai anampenda sana muigizaji wa Bongo Movie Irene Uwoya na amekuwa akimmezea mate tangia akiwa mdogo na ameweka picha zake nyingi magetoni kwake, anasema anatamani siku moja ifike akutane naye amwambie shida yake na atimize ndoto yake
sema dada yake bhana Uwoya hana sehemu ya kumpitisha dogo janjaIla vijana wa siku hizi wanakosa adabu kabisa huyu kijana hata miaka 21 bado hajafikisha lakini anawatamani mama zake
Irene Uwoya alikuwa miss Tanzania second runner baada ya Wema, Joketi na Irene mwaka 2006, Dogo janja alikuja na umri gani? Hata Uwoya mwenyewe alipoulizwa na Soudy Brown kwenye Weekend Show alisema kale ni katoto kabisa mpaka sura.Hata Irene sidhani kama ni mkubwa kihivyoooo
Mambo sisterna anaonyesha kampania.
ww na ww si mzima ...et mbele ya macho yako na unashuhidia mbele za watuHawa madogo wa siku hizi acha tu kuna mmoja alimgegeda bibi wa miaka 70 live mbele ya macho yangu.
Tatizo ni wakubwa ndio mnapenda kuwalea...[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hawa watoto wanapenda sana kuchungulia wakubwa.
Ohooooo......[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa madogo wa siku hizi acha tu kuna mmoja alimgegeda bibi wa miaka 70 live mbele ya macho yangu.
Basi watafungua bendi....[emoji13] [emoji13]Hata kama ana Ngoma!?
Wanapenda kulelewa. ...kaka yake Rais wa Manzese naye analelewa mìtaa ya katiHawa watoto wanapenda sana kuchungulia wakubwa.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wakubwa wenyewe wapo uchi tayari
nilisikia ametoka kimapenzi na Agnes Makonda
AkA agnes gerald masogange