Dogo Janja: Nammezea mate sana Irene Uwoya tangia nikiwa mdogo, naomba siku moja nitimize ndoto



Tatizo la wasanii feki (bongo feva artists wote) ni kuwa bado ni washamba na ndiyo maana hawajielewi hata wakikuwa. Uwoya ni jamvi la wageni kakanyagwa na vibaka kibao, dogo eti analilia hadharani kutembea naye.
 
Hata Irene sidhani kama ni mkubwa kihivyoooo
Irene Uwoya alikuwa miss Tanzania second runner baada ya Wema, Joketi na Irene mwaka 2006, Dogo janja alikuja na umri gani? Hata Uwoya mwenyewe alipoulizwa na Soudy Brown kwenye Weekend Show alisema kale ni katoto kabisa mpaka sura.
 
Huyo dogo hizo picha alizojaza room yawezekana anapigia nyeto.
 
Hawa watoto wanapenda sana kuchungulia wakubwa.
Tatizo ni wakubwa ndio mnapenda kuwalea...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…