Sure unasikia kama mimi Mkuu.Sijui nikwamba nimezeeka ila ni kwamba sikio langu ni kali sana kama la yule famous dr nyie mnamuita dr dre kwenye kusikia vitu vizuri..lakin kila nikimskiliza lunya nasikia makelele tu sijui kwa nini
Sijui kuhusu mziki wake, ila hilo jina halijakaa kibiashara kabisa. LUNYA?Anaitwa Rashid Lunyalile
Lunya ni kifupi cha surname.
Nilianza kumfahamu kwenye kundi la producer CjamokerAnaitwa Rashid Lunyalile
Lunya ni kifupi cha surname.
Katokea mkubwa na wanawe, mkubwa fella ndio aligundua kipaji chake.
Ni dogo ana respect kwa kaka zake sana na hana maishu ya ajabu.
Ni mkali sana na namkubali sana
Details zingine hazihusu na sizijui
Sijui kuhusu mziki wake, ila hilo jina halijakaa kibiashara kabisa. LUNYA?
Hili jina liwe la kibiashara ajiitaje?Sijui kuhusu mziki wake, ila hilo jina halijakaa kibiashara kabisa. LUNYA?
Certified Hater 🤣🤣🤣Sijui nikwamba nimezeeka ila ni kwamba sikio langu ni kali sana kama la yule famous dr nyie mnamuita dr dre kwenye kusikia vitu vizuri..lakin kila nikimskiliza lunya nasikia makelele tu sijui kwa nini
Anaitwa Rashid Lunyalile
Lunya ni kifupi cha surname.
Katokea mkubwa na wanawe, mkubwa fella ndio aligundua kipaji chake.
Ni dogo ana respect kwa kaka zake sana na hana maishu ya ajabu.
Ni mkali sana na namkubali sana
Details zingine hazihusu na sizijui