Wakuu wote wafanyabiashara wa Moza
kwa nini msiunde umoja wenu wa wafanyabiashara watanzani wa huko moza ili kuweza kusaidiana katika nyanja zote, hii itasaidia pia kutoa dira na mwongozo kwa wafanya biashara wengine wanotaka kujumuika nanyi huko moza,
kwa vinginevyo mnaweza mkashirikiana na umoja wa wafanyibiashara mbali mbali wa huku tanzania hivyo basi wakati mwingine bidhaa inapokuwa hadimu na kuhitajika moza basi inakuwa ni kupeana taarifa tu kwa simu au mitandao na bidhaa husika kutumwa haraka bila wahusika kusafiri, nadhani hii inaweza kuwa network nzuri sana ya kibiashara
haya ni mawazo na maoni yangu binafsi
tupo pamoja wakuu wa moza
kwa nini msiunde umoja wenu wa wafanyabiashara watanzani wa huko moza ili kuweza kusaidiana katika nyanja zote, hii itasaidia pia kutoa dira na mwongozo kwa wafanya biashara wengine wanotaka kujumuika nanyi huko moza,
kwa vinginevyo mnaweza mkashirikiana na umoja wa wafanyibiashara mbali mbali wa huku tanzania hivyo basi wakati mwingine bidhaa inapokuwa hadimu na kuhitajika moza basi inakuwa ni kupeana taarifa tu kwa simu au mitandao na bidhaa husika kutumwa haraka bila wahusika kusafiri, nadhani hii inaweza kuwa network nzuri sana ya kibiashara
haya ni mawazo na maoni yangu binafsi
tupo pamoja wakuu wa moza